Unaishi Mpwapwike?Unaushahid km wao ndo wanafadhir magaid au waandika nawe tu ujulikane km upo ulimwenguni
sasa jamaa wanafanya ugaidi japokuwa wapo kwe mfungo? sijui wamegombana nn asieeWenyewe kwa wenyewe tena? Sasa adui ni nani maana sielewi
Ni aibu kwa mwanaume kutumia neno "Nasikia" kwani ni dalili za umbea.Nasikia lengo lao ni kulipua kaburi la bwana mtume maana wanasema kuwepo pale ni ibada ya sanamu. Mujiandae watarudi tena kwa nguvu zaidi
No owner of the religion Mkuu. We all believe in God na hata vitabu vyetu vinaendana kwa kiasi chake. Usipende kukashfu dini za wengine hata chembe. Waache na imani maana hata wewe huna hakika kwamba dini yako ndo takatifu na iliyo sahihi mbele ya Mwenyenzi Mungu.May this religion and the owner go to hell and burn to eternity.
Nadhani wewe nawenzio ndio mjue kwamba magaidi si Islam wanatumia mgongo wa Islam kuuchafua uislam, Islam hawezi fanya upuuzi huu katika mwezi mtukufu, tulipojaribu kuwaelimisha mlijifanya mnajua, leo mmeshuhudia wenyewe, endeleeni kubisha si ndio zenuWalikuwa wanachekelea tumboni wanaposikia makafir wameuwawa na magaidi. Wanasahau jini ukilifuga likimaliza majirani kuna siku litageukia wanao na mwisho wa siku linakumalizia wewe mwenyewe. Kama wamepiga jirani na kaburi la Mtume wanayejidai kumfuata tena kipindi muhimu kama hiki cha mfungo hao hawawezi kuwa watu wa kawaida ... Ni mashetani kamili katika umbo la binadamu ...