Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Mmmh!!! naishiwa kabisa lakusema
NA MAASKOFU WAKIPIGA FILIMBI JE?
Hata maaskofu wakipiga filimbi hamtafanya lolote.....Amiri jeshi mkuu wenu ni wa "muddy" pia....:smile-big:.......in short ni mmuddy...he!
Watu hapo ndipo wanapokosea mpaka tunaonekana tunatukana hovyo kama kweli wewe unajipambanua kuwa unaguswa na kutolewa uhai kwa mwanadamu kwani unaonekana kuguswa sana mauaji ya upande mmoja....?? Hao AL SHABAAB wanafanya mauaji na wanajeshi wa KENYA mauaji tunachotakiwa kukifanya kama jamii ya wastaarabu ni KULAANI MAUAJI YANAYOFANYWA NA PANDE ZOTE MBILI BILA UPENDELEO HUKU TUKITAFAKARI NAMNA YA KUYAKOMESHA katika maridhiano ya kudumu huku dunia ikabaki kuwa mahali salama kwa kuishi kwa vizazi vya sasa na vizazi vijavyo....wenye hatia ni wepi?
Wanakula mkuu si ndo walivoahidiwa!!!!!!kwahiyo saivi wanakula zao wale 72
Niko likizo ya bila malipoHahhaaa mkuu we utakua genius wa mirembe
hii miserikali ya kiswahili ni ya kiqumer sana. haya yote yanatokana na serikali ya kenya kupeleka majeshi yake somalia. USENGErema wa serikali ndio unaowaponza wananchi.
hata hao wakenya wachache sio mbaya ukilinganisha na wasomali wanaouawa na majeshi ya kenya
Ak47 imenikumbusha uwanja wa medani...mpaka vidole vimeniwasha hapa