Magaidi wa Garisa

Magaidi wa Garisa

mi bado nina wasiwasi kama kwel hao ndo magaid wenyewe,!

wasije wakawa wamefanya ivo kuficha aibu. mana watu waliokufa bado nao ni weng sana.

anyway inauma sana.. .
 
Hiyo ni straight to hell. No discussion.
 
Hakiamungu kifo cha mwanadam sikizur lakini watu wakatili kama hao nibora wapungue, kama hujawai jeruhiwa bila kosa huwezi kuona wabaya hawawatu.
 
Wazazi wanabak na majenzi kwa kile wasicho kifaham kosalao nin
 
Ugaidi mbaya na magaidi ni wabaya pole kwa walifikwa na madhira haya ya Garissa
 
The wages of sin is death, and the gift of Jah is life..maadam waliambiwa kuna zawadi watazipata kwa matendo yao let them enjoy the zawadi now!! but I would bet my bottom dollar they were met with the biggest surprise of their life (or death?) huko Jehanam (may be to them it is their much advertised peponi--freedausi something?)
 
Sio Maneno hayo.cha msingi ni kujadili mustakabali Wa kwanini wafanye waliokusudia kuyafanya na sio kuleta kasfa hapo kwa jambo siliasi.
 
Holly molly!! Sidhani kama kizazi cha kisomali kina laana tatizo ni msimamo mkali wa mafundisho ya dini ya kiislamu kuhalalisha kulipa kisasi kwa wengine.

Muslim radicalism ndio tatizo.

na hii ni more than kisasi..kwani hao watoto wamewahi kuwafanyia nini hawa magaidi? its just their satanic teachings
 
​udini mbaya sana

1428141171345.jpg
 
na hii ni more than kisasi..kwani hao watoto wamewahi kuwafanyia nini hawa magaidi? its just their satanic teachings

An act of Coward ness! Wangepambana na jeshi na si raia
 
Back
Top Bottom