Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,559 142,338 Oct 19, 2021 #21 Wenye asili ya kiarabu au uhindi...
Jambo Kubwa Senior Member Jan 21, 2017 149 204 Oct 19, 2021 #22 Kuna mstari wa Prof Jay "_____ kama zama za Mtikila na sera za magabachori" Ndo nauelewa leo
Auz JF-Expert Member Apr 6, 2016 13,190 10,919 Oct 20, 2021 #23 Kinyungu said: Acha urongo. Mtikila alianza kuita Wahindi wezi Magabachori pale viwanja vya Jangwani. Wakati huo hakuwa amejiunga Chadema bado Click to expand... Mtikila alikuwa chadema?
Kinyungu said: Acha urongo. Mtikila alianza kuita Wahindi wezi Magabachori pale viwanja vya Jangwani. Wakati huo hakuwa amejiunga Chadema bado Click to expand... Mtikila alikuwa chadema?
Auz JF-Expert Member Apr 6, 2016 13,190 10,919 Oct 20, 2021 #24 Kigera Kwetu said: Hivi marehemu Mchungaji Mtikila...aliwahi kuwa mwanachama wa chadema?... Click to expand... Kwamba kama sio CCM ni chadema? Alikuwa na chama chake DP kama sikosei.
Kigera Kwetu said: Hivi marehemu Mchungaji Mtikila...aliwahi kuwa mwanachama wa chadema?... Click to expand... Kwamba kama sio CCM ni chadema? Alikuwa na chama chake DP kama sikosei.
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,685 68,671 Oct 20, 2021 #25 Jambo Kubwa said: Kuna mstari wa Prof Jay "_____ kama zama za Mtikila na sera za magabachori" Ndo nauelewa leo Click to expand... Don town kitambo utanieleza nini enzi hizo wengi wenu bado hamjaja mjini - jay wa mitulinga.
Jambo Kubwa said: Kuna mstari wa Prof Jay "_____ kama zama za Mtikila na sera za magabachori" Ndo nauelewa leo Click to expand... Don town kitambo utanieleza nini enzi hizo wengi wenu bado hamjaja mjini - jay wa mitulinga.
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,383 33,041 Oct 20, 2021 #26 Auz said: Mtikila alikuwa chadema? Click to expand... Kuna wakati alikuwa Chadema na akagombea ubunge huko kwao Ludewa kwa tiketi ya Chadema.
Auz said: Mtikila alikuwa chadema? Click to expand... Kuna wakati alikuwa Chadema na akagombea ubunge huko kwao Ludewa kwa tiketi ya Chadema.
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,383 33,041 Oct 20, 2021 #27 Auz said: Kwamba kama sio CCM ni chadema? Alikuwa na chama chake DP kama sikosei. Click to expand... Hicho alianzisha baada ya kitoka Chadema nadhani johnthebaptist
Auz said: Kwamba kama sio CCM ni chadema? Alikuwa na chama chake DP kama sikosei. Click to expand... Hicho alianzisha baada ya kitoka Chadema nadhani johnthebaptist
Auz JF-Expert Member Apr 6, 2016 13,190 10,919 Oct 21, 2021 #28 Kinyungu said: Hicho alianzisha baada ya kitoka Chadema nadhani johnthebaptist Click to expand... Chama chake kilikuwapo tangu mwanzoni, sema hakikupata usajili na kushiriki chaguzi kutokana na misimamo ya kiubaguzi, ndio chadema wakamuazima asimame kwenye chama chao, hata hivyo hakushinda.
Kinyungu said: Hicho alianzisha baada ya kitoka Chadema nadhani johnthebaptist Click to expand... Chama chake kilikuwapo tangu mwanzoni, sema hakikupata usajili na kushiriki chaguzi kutokana na misimamo ya kiubaguzi, ndio chadema wakamuazima asimame kwenye chama chao, hata hivyo hakushinda.