Magabachori ndio nani?

Kuna mstari wa Prof Jay "_____ kama zama za Mtikila na sera za magabachori"
Ndo nauelewa leo [emoji2]
 
Acha urongo. Mtikila alianza kuita Wahindi wezi Magabachori pale viwanja vya Jangwani. Wakati huo hakuwa amejiunga Chadema bado
Mtikila alikuwa chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…