johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Vyama vya Siasa nchini havina Itikadi ndio sababu Wanachama wao wanahamahama kila siku
Fikiria mzee Lowassa alitokea CCM kwenda Chadema kwa lengo la kugombea Urais wa JMT tu tena Mgombea mwenza akaenda kumchukua CUF
Nakumbuka mchungaji Mtikila alijiunga Chadema kwa ajili ya kugombea Ubunge wa Ludewa alivyoshindwa karudi DP
Hivi sasa Komredi Chongolo na Zito Kabwe wanazoa Wanachama wa Chadema huko mikoani na Muda si mrefu akienda Tundu Lisu watu hao hao wanarudi Chadema
Tanzania tuna Siasa za Njaa Sana!
Fikiria mzee Lowassa alitokea CCM kwenda Chadema kwa lengo la kugombea Urais wa JMT tu tena Mgombea mwenza akaenda kumchukua CUF
Nakumbuka mchungaji Mtikila alijiunga Chadema kwa ajili ya kugombea Ubunge wa Ludewa alivyoshindwa karudi DP
Hivi sasa Komredi Chongolo na Zito Kabwe wanazoa Wanachama wa Chadema huko mikoani na Muda si mrefu akienda Tundu Lisu watu hao hao wanarudi Chadema
Tanzania tuna Siasa za Njaa Sana!