Mafuta ya kutengenezea sabuni yanapatikana hapa

Mafuta ya kutengenezea sabuni yanapatikana hapa

The Industry

Senior Member
Joined
Sep 1, 2012
Posts
120
Reaction score
41
Habari za leo wajasilia wenzangu mimi ni mkazi wa kigoma huku kwetu malighafi za kutengenezea sabuni zinapatikana sana kama mise na mawese hivyo kwa yeyote ambaye anahitaji malighafi hizo anipigie kwa namba hii 0687108905 nitamfikishia mpaka kwake.
 
We upo Kigoma sehem gani.
Na ni mkulima au dalali.

Mie nipo Zanzibar ila Mwenyeji mkoa huo na nimezaliwa mtaa wa Livingstone.

Sasa nilitaka kujua bei ya Lita ya maweze ni kiasi gani,na ni maweze ya kiwandani au ya kusaga kwa mkono.
Na je pia mafuta ya mise ni kiasi gani pia kwa lita.
 
Mafuta yanakamuliwa na mashine kaka, bei ya lita ya mawese ni 3500 yakifika dar, bei ya lita ya mise ni 5000 mpaka dar, ila nachukua order ya kwanzia lita 2000 na zaidi...
 
Back
Top Bottom