Mafuta mazuri ya wanaume

mimi mume wangu nitampaka ndio
 
Kwa dongo hilo mimi mbio[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

young kilimanjaro
 
AMA KWELI AKUTUKANAYE HAKUCHAGULII TUSI

UNATAKA MWANAUME AWE NA MAKALIO NYORORO
 
Miss wee sio wakutunanga ivyo daa aya ngoja nije pm uninange vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hayo mafuta si yatafanya kalio la Mwanaume liwe soft kama la kike, Tako la kiume linatakiwa liwe tofauti jaman vinyweleo vyeusi viwepo na gumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani dada miss natafuta ni heri ungesema tu mafuta kwa ajili ya ngozi za wanaume ila hiyo makalio kuwa nini sijui unaharibu soko lako.

ndio maana maswali mengi yamezuka kuhusu iyo kauli ,vinginevyo muda huu ungekua unapokea oda tu

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…