simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,691
- 9,578
Biblia inasema:Maji yalizidi juu ya mlima mrefu(Mt Everest?) kwa dhiraa 15(mita 7) (Mwanzo 7:20)
Ilikufunika hadi kilele cha Everest dunia ingehitaji maji ya ziada kiasi cha takribani kilomita za ujazo bilioni 4.5 mara tatu ya maji yote yaliyopo kwenye bahari sasa.
Changamoto iliyopo hakuna chanzo kinachojulikana cha maji haya yote, wala sehemu ambapo maji hayo yangeenda baada ya mafuriko kumalizika.
Naomba mwongozo wa wana elimu.
Ilikufunika hadi kilele cha Everest dunia ingehitaji maji ya ziada kiasi cha takribani kilomita za ujazo bilioni 4.5 mara tatu ya maji yote yaliyopo kwenye bahari sasa.
Changamoto iliyopo hakuna chanzo kinachojulikana cha maji haya yote, wala sehemu ambapo maji hayo yangeenda baada ya mafuriko kumalizika.
Naomba mwongozo wa wana elimu.