Hahahaa kigamboni sattelite city the blue diamond mpaka leo video yao nnayo nzuri kweli.Sasa mama kwako kila kitu kilifeli au? political will kutoka kwa nani tena wakati wewe ulikuwa kwenye baraza la mawaziri? vipi na ile project ya kigamboni satellite mliyotuaminisha nayo tena hakukuwa na political will au?
kwa nini hukusema then lakini unasema now?Bila nidhamu ya kuheshimu Mipango miji mafuriko yatakuwa common feature ya jiji la DSM. Regrettably.
Tatizo siyo mvua kubwa. Tatizo ni kuziba natural drainage system hivyo maji ya mvua kushindwa kwenda baharini.
Nilipokuwa Ardhi nilijitahidi sana kuokoa bonde la msimbazi kwa mujibu ya 1979 master plan. Call it the Nyerere Master plan.
Sikufanikiwa. There was no political will for it. Bonde likaendelea kujengwa. Kwa hiyo maji hayana njia za kufika baharini.
Mind you Bonde la Msimbazi ndiyo njia pekee kwa maji yote yatokayo Pugu Hills Ukonga Airport Tazara Tabata Kigogo magomeni Ilala kufika Jangwani grounds hadi salender bridge yanapoingia baharini. Pia maji kutoka ubungo Manzese Tandale magomeni Kagera kinondoni hananasif Muhimbili hadi jangwani njia ni hiyo tu moja.
Kwa upande wa chuo kikuu mto mbezi na mto mlalakuwa na mto Mdumbwi ( Kawe) imejengwa na njia za maji kuifikia kuzibwa.
You do not need to be an expert in urban planning to know that WATER FINDS ITS OWN LEVEL. ALSO TO KNOW THAT IN SOME YEARS HEAVY RAINS SHALL BE EXPERIENCED. ALL THESE THINGS ARE PREDICTABLE.
Mfano at Jangwani grounds Tulisema lakini uharaka wa kukamilisha mradi wa DART uka overide any other consideration. Nilisikitika sana knowing it was a recipe for disaster lakini urban planning is a political activity. Without the support of political power, all knowledge and expertise go to waste. They cannot help much.
Nimeona nielezee hili kwa watu wanaotaka kujua kwa nini wataalam wametufikisha hapa. Sio wataalam. No interests. Na utamaduni wa kutoheshinu utaalam. Na wananchi kutaja quick solutions.
Going forward lazima kurejea plan ya Mwalimu ya 1979. To salvage the Msimbazi Valley as THE CENTRAL CITY PARK. Waliojenga wawe resettled with compensation kama wanastahili. New developments in this valley ziwe arrested.
Mama Anna Tibaijuka
Hizi ni nondo nzito, ila huyu Mama nae alikuja na mcheche sana na mkwala wa kusimamia, sheria taratibu na kanuni za mipango miji akidhani ataweza!.
Alipoingia tuu, akatia mkwala wa kubomoa wote waliovamia open spaces, akianza na ile open mbele ya Palm Beach.
Nilifanya nae mahojiano, recorded, nikamuuliza, kwa vile CCM ndiye mvamizi mkuu wa viwanja vya wazi, na vigogo ndio wamejimegea mapande manono, jee ataweza?. Alinijibu yeye haangalii sura wala hajali nani ni nani, yeye ni kufuata tuu sheria.
Nilipanga kumtafuta kupata mrejesho, lakini akatumbuliwa kabla!.
P
Ni hivyo tu. Wasipofanya sasa watakuwa wanangojea mwaka wa kufariki watu zaidi ya laki.Ni kubomoa tu... na kutengeneza pafanye kazi yake..
Hakuna lingine..
CCM ni MDUBWANA anatakiwa kupisha na kukaa pembeniMkuu hivi ulivyohama na Lowassa hukurudi?
sijui kilitokea nini, lkn kwa masikio yangu nilimsikia mh raisi wa wakati huo Jakaya Kikwete akikataza kujengwa vile vijumba vya mwendokasi pale jangwani.Bila nidhamu ya kuheshimu Mipango miji mafuriko yatakuwa common feature ya jiji la DSM. Regrettably.
Tatizo siyo mvua kubwa. Tatizo ni kuziba natural drainage system hivyo maji ya mvua kushindwa kwenda baharini.
Nilipokuwa Ardhi nilijitahidi sana kuokoa bonde la msimbazi kwa mujibu ya 1979 master plan. Call it the Nyerere Master plan.
Sikufanikiwa. There was no political will for it. Bonde likaendelea kujengwa. Kwa hiyo maji hayana njia za kufika baharini.
Mind you Bonde la Msimbazi ndiyo njia pekee kwa maji yote yatokayo Pugu Hills Ukonga Airport Tazara Tabata Kigogo magomeni Ilala kufika Jangwani grounds hadi salender bridge yanapoingia baharini. Pia maji kutoka ubungo Manzese Tandale magomeni Kagera kinondoni hananasif Muhimbili hadi jangwani njia ni hiyo tu moja.
Kwa upande wa chuo kikuu mto mbezi na mto mlalakuwa na mto Mdumbwi ( Kawe) imejengwa na njia za maji kuifikia kuzibwa.
You do not need to be an expert in urban planning to know that WATER FINDS ITS OWN LEVEL. ALSO TO KNOW THAT IN SOME YEARS HEAVY RAINS SHALL BE EXPERIENCED. ALL THESE THINGS ARE PREDICTABLE.
Mfano at Jangwani grounds Tulisema lakini uharaka wa kukamilisha mradi wa DART uka overide any other consideration. Nilisikitika sana knowing it was a recipe for disaster lakini urban planning is a political activity. Without the support of political power, all knowledge and expertise go to waste. They cannot help much.
Nimeona nielezee hili kwa watu wanaotaka kujua kwa nini wataalam wametufikisha hapa. Sio wataalam. No interests. Na utamaduni wa kutoheshinu utaalam. Na wananchi kutaja quick solutions.
Going forward lazima kurejea plan ya Mwalimu ya 1979. To salvage the Msimbazi Valley as THE CENTRAL CITY PARK. Waliojenga wawe resettled with compensation kama wanastahili. New developments in this valley ziwe arrested.
Mama Anna Tibaijuka
mwanaume aliyekuoa ana kazi sana ndani ya nyumbaNi kubomoa tu... na kutengeneza pafanye kazi yake..
Hakuna lingine..