Mama Tibaijuka kwa kuwa wewe ni msikivu na "mcha" Mungu, nakushauri ukae kimya ili usiwatoneshe vidonda vya tumbo na ubongo Watanzania. Endelea kula hela yako yako ya "mboga" 1.5 Billioni. Hiki ulichoandika mimi kama MTANZANIA nimekipokea kama kejeli na matusi kwa Watanzania. Jitafakari Mama Tibaijuka.