Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,231
- 138,745
baada ya kusikia mafuriko kila kona nami nimeamua kabisa nichukue boti nije hapa visiwani nishuhudie kila kitu.
Hali katika mitaa mingi hapa watu wana furaha ya hali ya juu,katika uwanja wa tukio kuna watu wengi ambao wanasema watakesha hapahapa,ambapo hata mimi nitalala hapahapa,nina simu mbili na laptop zenye chaji 100% kwa ajili ya updates,kuanzia kesho asubuhi nitawawekea picha za kinachijiri,so usicheze mbali
baada ya kusikia mafuriko kila kona nami nimeamua kabisa nichukue boti nije hapa visiwani nishuhudie kila kitu.
Hali katika mitaa mingi hapa watu wana furaha ya hali ya juu,katika uwanja wa tukio kuna watu wengi ambao wanasema watakesha hapahapa,ambapo hata mimi nitalala hapahapa,nina simu mbili na laptop zenye chaji 100% kwa ajili ya updates,kuanzia kesho asubuhi nitawawekea picha za kinachijiri,so usicheze mbali
baada ya kusikia mafuriko kila kona nami nimeamua kabisa nichukue boti nije hapa visiwani nishuhudie kila kitu.
Hali katika mitaa mingi hapa watu wana furaha ya hali ya juu,katika uwanja wa tukio kuna watu wengi ambao wanasema watakesha hapahapa,ambapo hata mimi nitalala hapahapa,nina simu mbili na laptop zenye chaji 100% kwa ajili ya updates,kuanzia kesho asubuhi nitawawekea picha za kinachijiri,so usicheze mbali
baada ya kusikia mafuriko kila kona nami nimeamua kabisa nichukue boti nije hapa visiwani nishuhudie kila kitu.
Hali katika mitaa mingi hapa watu wana furaha ya hali ya juu,katika uwanja wa tukio kuna watu wengi ambao wanasema watakesha hapahapa,ambapo hata mimi nitalala hapahapa,nina simu mbili na laptop zenye chaji 100% kwa ajili ya updates,kuanzia kesho asubuhi nitawawekea picha za kinachijiri,so usicheze mbali
Nafuatilia wengi wanaopost na ku_comment kwenye post za EL na JM naona ni recruiter wa jf yaani ni wachache wenye 200post counts.Ni wakati wa mabadiliko... Tunakuombea
baada ya kusikia mafuriko kila kona nami nimeamua kabisa nichukue boti nije hapa visiwani nishuhudie kila kitu.
Hali katika mitaa mingi hapa watu wana furaha ya hali ya juu,katika uwanja wa tukio kuna watu wengi ambao wanasema watakesha hapahapa,ambapo hata mimi nitalala hapahapa,nina simu mbili na laptop zenye chaji 100% kwa ajili ya updates,kuanzia kesho asubuhi nitawawekea picha za kinachijiri,so usicheze mbali