Habari zenu GT, naamini humu ndio kila kitu, leo naomba kuulizia suala la mafunzo ya uaskari kwamba kwa mwaka huu wahusika wanaokwenda kusoma haya mafunzo wanatakiwa waende mwezi gani na tarehe ngapi? Kwa wanaolijua hili jaman naomben msaada,
Bila shaka muulizaji atakuwa anaulizia uaskari wa Mgambo. Kama ndo hivo ni kwamba mafunzo haya yamesimamishwa kwa muda sasa hadi hapo baadaye itakapotangazwa tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.