Mafunzo ya kuflash simu (SOFTWARE) bure

Mafunzo ya kuflash simu (SOFTWARE) bure

wanatamani

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
415
Reaction score
145
nahitaji vijana 5 waliotayari kwa ajili ya kupata mafunzo ya kuflash simu (sofware) mafunzo nitayaendesha zilipo ofisi zangu kigamboni. kwa muda wa wiki2 mfululizo watakao kuwa tayari naomba tuwasiliane . mafunzo yataanza muda wa asubuhi saa3 mpaka mchana wa saa7. nauli na chakula ni juu yako itapendeza ikiwa utakuwa na laptop
mawasiliano
info@simuyangu.co.tz
simu +255715387545
website: www.simuyangu.co.tz
NARUDIA NAHITAJI VIJANA WA 5 TU AWAMU YA KWANZA ,NITACHAGUA KATI YA WATAKAOHITAJI
MAFUNZO HAYA NI BURE , KATAA KUWA KAA
 
Ukimaliza wa daslam tuangalie na mikoani hasa mimi nahitaji sana mkuu
 
Aaaaaah kumbe bure basi nilikuwa sijasoma poa
 
Imekaa poa, ningekuwa karibu ningekua mmoja wa wanafunzi wako
 
Iko POWa. Nahitaji hyo kitu. Vipi kama sina laptop!?
 
Wewe fanya kama vile wafanyavyo wengine hapa jukwaani. Yaani unaanza kueleza/kufundisha moja kwa moja namna ya kuflash simu mbalimbali kwa kutumia internet ama device Fulani....nadhani utapata wadau wengi sana wa kuwafundisha hapa na pia utakuwa umesaidia taifa lako nao watakuwa mabarozi kwa wengine, na wengine watajiajiri kupitia mafunzo yako...ktk historia yao watasimulia namna ulivyowasaidia. Piga jiwe moja kwa ndege wengi...utakuwa umewafikia wa Mby, Songea, Musoma, Mtwara, Kigoma nk
 
Mkuu kama hutojali waweza kuwasaidia na wengine...waweza kuanzisha hats group la whatsapp...nitakuwa moja ya wanafunzi wako
 
Back
Top Bottom