Mafunzo ya kuflash simu (SOFTWARE) bure

Mafunzo ya kuflash simu (SOFTWARE) bure

Fungua ukurasa whatssap uugharamishe kidogo tujiunge tupate mafunzo...!
 
nimepokea ushauri wa watu wote , naomba tuzingatie wadau elimu ya kuflash sio nyepesi kiasi mtu kusema anaweza kuelekezwa kwa kutumia whatsapp.
labda tu baadh ya vitu kwa mtu amabaye tayari ameshaanza hiyo kazi maana kila siku vitu ni update na matatizo ya simu yanaongezeka.
naomba kwa ambao wanania ya kweli kama nilivyo amaua kuwezesheshana tuwasiliane nimeshapata mmoja amabaye yupo tayari kufika ofisini kujifunza
MAFUNZO NI BURE TSH 0.00 ITAPENDEZA ZAIDI
 
Safi, huu ndiyo uzalendo.
Sasa utamjibu nini, Kwa hichi alichoandika akionyesha eti Quran 39:20.
Kitabu gani kinasomwa hivyo, hata nje ya vita vya Dini.

Mfano mtu aandike maneno yake, alafu akuambie amenukuu toka kwenye Bibilia, 39:20,
Utaelewa nini.
Bibilia ni kitabu chote, ndani yake kuna sura, na aya.
Kinachaandikwa lazima akili yako nayo ifanye kazi kuchambua kupata ukweli.
 
Back
Top Bottom