Mie n kijana. Naifaham computer kwa matumizi ya kawaida.. Napnda sana kupata mafunzo ya technlogia ya kupambana na wizi wa mitandao.. Je kwa hapa tanzania especially dar nitapata wapi hio course
Mie n kijana. Naifaham computer kwa matumizi ya kawaida.. Napnda sana kupata mafunzo ya technlogia ya kupambana na wizi wa mitandao.. Je kwa hapa tanzania especially dar nitapata wapi hio course
Mie n kijana. Naifaham computer kwa matumizi ya kawaida.. Napnda sana kupata mafunzo ya technlogia ya kupambana na wizi wa mitandao.. Je kwa hapa tanzania especially dar nitapata wapi hio course
Kwa dar es salaam sina uhakika........ila hii course ukitaka usome vizuri maana ni pana sana, kasome degree yake kabisa uwe mtaalam, kasome bachelor of information system security inapatikana informatics udom, hapo utapata mwanga sana, baadae unaweza kuendelea na speciliazation na hiyo kitu kwenye masters utakua vizuri sana
Hasa kwenye nchi za ulaya mashariki Hungary, Ukraine, Russia............ wapo vizuri sana kwenye computer security
Aksanten sana wakubwa.. Japo nilitaka kuanza na ngazi ya cerficate then niendelee na diplm.. Ndo maana nikajalibu uliza kwa hapa dar napata wapi chuo hicjo