mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
serikali kila siku inalalamika uhaba wa walimu, mi mtazamo wangu watu wengi tumemaliza vyuo na tuko mtaani tunasota hatuna kazi. Kwa nini serikali isifikiri kutoa training fupi kwa graduate wa chuo yeyote aliye tayari hata miezi 3, au sita harafu wakawaajiri kama waalimu wa sekondari? Ni mtazamo wangu.