Mafundi wazembe

Mafundi wazembe

Mm nikafikiri huyo fundi kakosea kajenga eneo la wazi kumbe kajenga ndipo kabisa safi sana na huo mshono ndio

Sasa kujenga eneo la wazi nimakosa? Maeneo yote kabla ya kujengwa lazima kwanza yawe wazi.
 
Kuzaliwa mwanaume shida/kazi sana Kasinde.Mleta picha anajua hivyo ndo maana katudanganya na vitofali!

Sikuwadanganya hapo ni kwangu na fundi nimegoma kumlipa kaenda nishitaki ofisi ya kata, na huyo msichana ni sekretari wa ofisi ya kata ameniletea wito kuwa nahitajika ofisi ya kata.
 
Last edited by a moderator:
Fundi kakosea sana vitofali vimekaa vibaya sana na havijasuguliwa
 
want-bang-table-dinner-plate-1350133051Y.gif
 
Mtoto ana "alaji" kubwa..!

Imagine ako kwa bed with you !
 
Back
Top Bottom