Mafundi wa umeme wa magari wanasomea wapi?

Mafundi wa umeme wa magari wanasomea wapi?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
5,165
Reaction score
8,959
Wakuu hivi kuna vyuo vya hii kitu au ndo full janjajanja za mjini?

Inasomewa vyuo gani hapa nchini?

Kozi inaitwaje?

Nahitaji hii kitu one day aisee.
 
Vyuo vingi tu mzee. Kuna jamaa yangu kasoma Ifunda Tech miaka mitatu now yupo TEMESA.
Kuna mwingine alikuwa anasoma Arusha Tech
 
Hivyo vyuo vipo vingi.Ila sina uhakika kama kuna chuo kinachofundisha kutengeneza magari ya Hybrid au yale ambayo ni Full Ev.maana nadhani mitaala yetu inaweza kuwa bado analogia
 
Back
Top Bottom