Lelon Mush
Member
- Sep 16, 2019
- 64
- 15
Msaada wakuu nimeflash simu imekataa kuwaka na nikijaribu kuiflash tena inasoma kwenye computer kwa sekunde 3 then inapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
nimepata firmware nyingine ila simu inasoma na kuacha so haimaliz kuflashUtakuwa haujaweka firm ware nzuri..tafuta file husika la hyo cmu ulidownload uliweke
Fungua uchomoe betri kisha wakati wa kuconnect bonyeza volume down, itaonekana. Hakikisha betri ina chaji ya kutosha. Baada ya hapo ikishaonekana rudishia betri hivohivo kisha process ziendelee. Kama haujaelewa nikute hapanimepata firmware nyingine ila simu inasoma na kuacha so haimaliz kuflash
Sent using Jamii Forums mobile app