Jini Mapembe
Senior Member
- Feb 22, 2012
- 106
- 71
Ukipatwa na mafua mimi napataga homa kabisa.
Inakuwepo vita ya ndani kwa ndani.
Huku tahanani kule taharuki utadhani umewavuruga nyuki.
Hapo kitulizo ni mchumbururu wa kuokwa. Chuchunge hatofaa kabisa.
Inakuwepo vita ya ndani kwa ndani.
Huku tahanani kule taharuki utadhani umewavuruga nyuki.
Hapo kitulizo ni mchumbururu wa kuokwa. Chuchunge hatofaa kabisa.