mtembea kwa miguu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 1,121
- 1,736
Mkuu we number unatoa pm? Duuh unahitaji semina elekezi ya kutangaza biashara yako...Uliza huko huko utajua mizigo yenu inafika je, ndio uniambie mimi
Basi nam npm no yako
Mkuu we number unatoa pm? Duuh unahitaji semina elekezi ya kutangaza biashara yako...Uliza huko huko utajua mizigo yenu inafika je, ndio uniambie mimi
Hii ikoje? Picha plz150,000
Unapaykanaje sasa.. Mm nko mbglLaki na themanini
Friji ndogo bei gani
Mkuu ni pm namba yako.. nataka nije hapo kijichi.. mimi nipo nelukaZipo, karibu sana
Na mini fridge watts 90 ni sh ngapi kwa mpyaa kabisa?