mwitaz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 315
- 93
Mafisango uso kwa uso na
kanumba
kanumba: vipi
jembe? Shwari huko?
Mafisango: huko sio shwari
jembe, watu wanagombea
mali zako vibaya
kanumba: vipi lile v8 langu?
Mafisango:hilo ndo chanzo
cha ugomvi wa baba na
mama yako
kanumba: Dah!
Na dada yangu lulu je
anaendeleaje?
Mafisango:Yani we kweli ni
msanii yani mpaka huku
unanidanganya lulu ni dada
yako?
Kanumba:
ushaniudhi sasa nenda tu
uwanjani jumatano tuna mechi na malaika wa
adhabu.
kanumba
kanumba: vipi
jembe? Shwari huko?
Mafisango: huko sio shwari
jembe, watu wanagombea
mali zako vibaya
kanumba: vipi lile v8 langu?
Mafisango:hilo ndo chanzo
cha ugomvi wa baba na
mama yako
kanumba: Dah!
Na dada yangu lulu je
anaendeleaje?
Mafisango:Yani we kweli ni
msanii yani mpaka huku
unanidanganya lulu ni dada
yako?
Kanumba:
ushaniudhi sasa nenda tu
uwanjani jumatano tuna mechi na malaika wa
adhabu.