Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 35,809
- 47,114
Duh!Wezako wote uliojiunga nao Jamii forum 2005 washakufa achana na mambo ya siasa
Duh!Wezako wote uliojiunga nao Jamii forum 2005 washakufa achana na mambo ya siasa
Kweli kabisaDuuh hatari sanaa....kama movie 🍿 aisee,
Theya are well informed...na Hali ndiyo inakuwa worst!Ukweli vita hii mafisadi watashinda sio tu kwa sababu ulizozizatja bali pia watashinda sababu kwa upande mwingine wa shilingi wa Wanchi wengi HAWAJAWA WELL RIGHTLY, and CORRECCTLY INFORMED .
WEAKNESS hii ya wananchi kutokuwa na taarifa za kweli na sahihi Ni STRENGHTS yao hao KUPE.