Habari wadau
Hivi pesa wanazotumia vilabu kama Singida big Star na Yanga ni fedha halali??
GSM anadhamini vilabu zaidi ya 10 hizi fedha wanazitoa wapi?? Hatujawahi kusikia huyu GSM ameita vyombo vya habari na kuweka bayana ufadhili wake kwa Yanga.
Waweke vyanzo vyao vya fedha ili Umma ujue na kwa timu ya Singida nina wasiwasi kuna fedha za serikali zinachotwa na huyu mwambaa anayekopa na kupambana kukuza deni la CCM.
Hivi pesa wanazotumia vilabu kama Singida big Star na Yanga ni fedha halali??
GSM anadhamini vilabu zaidi ya 10 hizi fedha wanazitoa wapi?? Hatujawahi kusikia huyu GSM ameita vyombo vya habari na kuweka bayana ufadhili wake kwa Yanga.
Waweke vyanzo vyao vya fedha ili Umma ujue na kwa timu ya Singida nina wasiwasi kuna fedha za serikali zinachotwa na huyu mwambaa anayekopa na kupambana kukuza deni la CCM.