MAFIA: Mwalimu wa Madrasa alawiti watoto 15

MAFIA: Mwalimu wa Madrasa alawiti watoto 15

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,250
Reaction score
26,639
Nafikiri watu wafundishe dini zao wakiamini kuwa katika hizi dini kuna wanadamu na wanatumiwa na shetani, nimeona waislam wakiutukana sana Ukristo ila wanasahau matukio machafu ya Wadada kubakwa na kufanyishwa biashara chafu Uarabuni, Vikundi vinavyojinasibu kwa jina la Uislam wakiwateka na kuua watu na watoto na kuwabaka na kuwalawiti...

Leo huko mafia kwenye uislamu 99.99% Mwalimu wa MADRASA kabaka na kulawiti watoto 15

Haya matukio ni mengi sana

Je Tuseme ndio uislam?

Binafsi nilishaamua mwanangu nitampa elimu ya Mungu nyumbani kwangu ,nashukuru Mungu kwasasa anayeendesha ibada ya asubuhi na jioni na kuombea chakula ni binti yangu wa miaka mitatu na nusu tu

Malezi na elimu ya Kiroho inaanzia Nyumbani,

Kanisa linaanzia Nyumbani

Tunaishi kwenye kizazi kibaya sana ,hutakiwi kumuamini mtu akutengenezee mtoto wako

Mtoto akitoka shule fatilia nini kimejiri huko shuleni

Wazazi tuwe makini sana kwenye malezi

Bila kusahau matuio kibao ya hapa hapa Nchini...

Tutenge dini na watu wanaochafua dini... Otherwise kila upande una taarifa mbaya sana za upande wa pili..
 
View attachment 3538426
Nafikiri watu wafundishe dini zao wakiamini kuwa katika hizi dini kuna wanadamu na wanatumiwa na shetani, nimeona waislam wakiutukana sana Ukristo ila wanasahau matukio machafu ya Wadada kubakwa na kufanyishwa biashara chafu Uarabuni, Vikundi vinavyojinasibu kwa jina la Uislam wakiwateka na kuua watu na watoto na kuwabaka na kuwalawiti...

Leo huko mafia kwenye uislamu 99.99% Mwalimu wa MADRASA kabaka na kulawiti watoto 15

Haya matukio ni mengi sana

Je Tuseme ndio uislam?

Binafsi nilishaamua mwanangu nitampa elimu ya Mungu nyumbani kwangu ,nashukuru Mungu kwasasa anayeendesha ibada ya asubuhi na jioni na kuombea chakula ni binti yangu wa miaka mitatu na nusu tu

Malezi na elimu ya Kiroho inaanzia Nyumbani,

Kanisa linaanzia Nyumbani

Tunaishi kwenye kizazi kibaya sana ,hutakiwi kumuamini mtu akutengenezee mtoto wako

Mtoto akitoka shule fatilia nini kimejiri huko shuleni

Wazazi tuwe makini sana kwenye malezi

Bila kusahau matuio kibao ya hapa hapa Nchini...

Tutenge dini na watu wanaochafua dini... Otherwise kila upande una taarifa mbaya sana za upande wa pili..

Astaghafurahi
 
Stori za mapadre kula viboga vya watoto ni nyingi kuliko za maostaz

Tena ukizingatia kwenye wito wao wanawekwa mbali na nyege wakati ni rijali kwa kila ajali iliyotukuka
 
Ni mtihani sana haya mambo.

Hii hali inakatisha hadi tamaa mitaani ukiwa wewe mwema kwa wanao dunia haina wema huo,Mungu aepushe mbali.
 
Nafikiri watu wafundishe dini zao wakiamini kuwa katika hizi dini kuna wanadamu na wanatumiwa na shetani, nimeona waislam wakiutukana sana Ukristo ila wanasahau matukio machafu ya Wadada kubakwa na kufanyishwa biashara chafu Uarabuni, Vikundi vinavyojinasibu kwa jina la Uislam wakiwateka na kuua watu na watoto na kuwabaka na kuwalawiti...

Leo huko mafia kwenye uislamu 99.99% Mwalimu wa MADRASA kabaka na kulawiti watoto 15

Haya matukio ni mengi sana

Je Tuseme ndio uislam?

Binafsi nilishaamua mwanangu nitampa elimu ya Mungu nyumbani kwangu ,nashukuru Mungu kwasasa anayeendesha ibada ya asubuhi na jioni na kuombea chakula ni binti yangu wa miaka mitatu na nusu tu

Malezi na elimu ya Kiroho inaanzia Nyumbani,

Kanisa linaanzia Nyumbani

Tunaishi kwenye kizazi kibaya sana ,hutakiwi kumuamini mtu akutengenezee mtoto wako

Mtoto akitoka shule fatilia nini kimejiri huko shuleni

Wazazi tuwe makini sana kwenye malezi

Bila kusahau matuio kibao ya hapa hapa Nchini...

Tutenge dini na watu wanaochafua dini... Otherwise kila upande una taarifa mbaya sana za upande wa pili..

Astaghafilulah hapo ndo akina Munch wa Annabelle huzalishwa. Likija humu linajiita jina la annabelle kama vile ndo jina litafanya watu wavutiwe na chokoliko toka tupo mdogo anafanywa huu uchafu.
 
Stori za mapadre kula viboga vya watoto ni nyingi kuliko za maostaz

Tena ukizingatia kwenye wito wao wanawekwa mbali na nyege wakati ni rijali kwa kila ajali iliyotukuka

Sheikh wangu hii umeisikia lakini? Unaona ni sawa sababu kuna padre alikufanyia hivyo? Daaaah.
 
Stori za mapadre kula viboga vya watoto ni nyingi kuliko za maostaz

Tena ukizingatia kwenye wito wao wanawekwa mbali na nyege wakati ni rijali kwa kila ajali iliyotukuka
Wewe mbona unaleta battle kinyume na Uzi
 
Wilaya hiyo hiyo ya mafia miaka mitatu nyuma mwalimu mwingine wa madrassa alilawiti watoto 27

Hiyo wilaya sasa serikali iingilie kati ili kuokoa vijana wa kiume
Wazee wanapiga misuli tu muda wote
 
Stori za mapadre kula viboga vya watoto ni nyingi kuliko za maostaz

Tena ukizingatia kwenye wito wao wanawekwa mbali na nyege wakati ni rijali kwa kila ajali iliyotukuka
Wewe pimbi beba tatizo kama linakuhusu wewe unaishi kwenye jamii yenye watu tofauti tofauti ishu siyo nani anafanya the issue ni wanaofanyiwa ni watoto zetu,ndugu zetu wajomba zetu etc.

Wakiharibikiwa hao aharibikiwi padre sijui shehe ostazi mwalimu au nani tunaoharibikiwa ni sisi,kwa hiyo kama mapadri wanalawiti ndiyo iwe sababu ya wengine kulawiti?ficha ujinga wako.
 
Stori za mapadre kula viboga vya watoto ni nyingi kuliko za maostaz

Tena ukizingatia kwenye wito wao wanawekwa mbali na nyege wakati ni rijali kwa kila ajali iliyotukuka
Sijaelewa mkuu. Kwahiyo hao Maostaz nao wanalawiti vitoto kwa bidii ili nao stori zao ziwe nyingi kupita mapadre?
 
Back
Top Bottom