Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Najua mmepewa kibali, Ila kwa upande mwingine serikali itazame kwa wenye shida ya matatizo ya Moyo na wagonjwa wengine.
Mnapiga fataki Kati Kati ya jiji na hospitali zetu zipo ndani ya jiji,
Naomba serikali itazame hili jambo kwa Mara ya pili, mnatupa shida na kuleta usumbufu kwa wagonjwa .
Mnapiga fataki Kati Kati ya jiji na hospitali zetu zipo ndani ya jiji,
Naomba serikali itazame hili jambo kwa Mara ya pili, mnatupa shida na kuleta usumbufu kwa wagonjwa .