katika moja ya clipu zinazotembea mitandaoni ni hili la wanasheria aka mawakili waliokuwa wakisema kwa kutoa povu kali kuufafanua mkataba wa bandari na uhusiano wa Dubai kama ni nchi au la.
Kumbe waliyokuwa wakiyasema yote ni yale waliyoyaona kuwa wananchi watayapokea na kuyaamini.
Tunasema Allah hamfichi mnafiki,waliyoyasema yote ni majungu na upotoshaji mkubwa usiowahi kutokea kufanywa na wanasheria au tuwaite mawakili.
Ipo haja ya watu hawa kujitokeza na kuomba msamaha kwa WaTanzania,kwa uwongo waliousema hata vibali vyao vinaweza kuwepo katika hatohati.
Kumbe waliyokuwa wakiyasema yote ni yale waliyoyaona kuwa wananchi watayapokea na kuyaamini.
Tunasema Allah hamfichi mnafiki,waliyoyasema yote ni majungu na upotoshaji mkubwa usiowahi kutokea kufanywa na wanasheria au tuwaite mawakili.
Ipo haja ya watu hawa kujitokeza na kuomba msamaha kwa WaTanzania,kwa uwongo waliousema hata vibali vyao vinaweza kuwepo katika hatohati.