Nashangaa ni nini kinaendelea?
Huduma za afya ni duni, Hospitali hazina vifaa,madaktari wana migomo baridi (mishahara duni katika sekta ya afya), mfumuko wa bei, stress za maisha, elimu duni, mishahara haitoshi, sekta binafsi kunyanyasa wafanyakazi.
Je, ni nani anajua kuwa atafikisha hiyo miaka 55??????
Kama wameshindwa kuwalipa wazee hao wa Africa mashariki, je itakuwaje warithi wa hiyo pension watapewa hela ama wataishia kupigwa mabomu?
Wafanyakazi tukiwa Dhaifu, na serikali lazima iwe dhaifu.
Chonde chonde wafanyakazi tuzungumze.
Na Bila kutoa jibu la Haki, SENSA haifanyiki. TUGOMEEE SENSA.
Huduma za afya ni duni, Hospitali hazina vifaa,madaktari wana migomo baridi (mishahara duni katika sekta ya afya), mfumuko wa bei, stress za maisha, elimu duni, mishahara haitoshi, sekta binafsi kunyanyasa wafanyakazi.
Je, ni nani anajua kuwa atafikisha hiyo miaka 55??????
Kama wameshindwa kuwalipa wazee hao wa Africa mashariki, je itakuwaje warithi wa hiyo pension watapewa hela ama wataishia kupigwa mabomu?
Wafanyakazi tukiwa Dhaifu, na serikali lazima iwe dhaifu.
Chonde chonde wafanyakazi tuzungumze.
Na Bila kutoa jibu la Haki, SENSA haifanyiki. TUGOMEEE SENSA.