Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
-
- #21
Kiungo bora wa Tanzania ni Fei Toto, anajua kudribble, anayocontrol, ana pasi za uhakika, Fei namfananisha na Lionel Messi
Hapa ndio nilimuelewa Makonda kwa nn aliwaambia hakuna kustaafu. Wakistaafu hawa jamaa Nyoni na Yondani haitakua rahisi kuziba pengo lao
Mkongwe Erasto Nyoni mtulivu sana kwny nafas yake
Huyu jamaa ni mchezaji aliyekamilika sana
Nimeshudia Wachezaji wengi kwa Tanzania erasto ni moja ya Wachezaji wangu bora kuwahi kutokea TanzaniaMvinyo unavyo zidi kukaa sana ndio huzidi kuwa mtamu .... Nyoni ni moja kati ya wachezaji wazuri sana niliowahi kiwashuhudia hapa nchini.
Jamaa ni kiraka, halafu ni mchezaji kiongozi awapo uwanjani
We nae sijui ndio umeamka fei wa nini tena na mambo yake ya kizañzibari
Feitoto ndio mchezaji aliongoza kupata kadi za njano katika ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2018/2019
Miaka 40 hajafikisha sababu huyu ameonekana kwenye mpira tokea akiwa kijana mdogo amezaliwa mwaka 1985
Kelvin Yondani 1986
Ana umaestro gani huyo?
Hv abubakar salum "sure boy" sio mtanzania eeenh?Kiungo bora wa Tanzania ni Fei Toto, anajua kudribble, anayocontrol, ana pasi za uhakika, Fei namfananisha na Lionel Messi
Sure jamaa nimemfahamu miaka2001- 2002 mitaa segerea akichezeanipo ya uwnja was kukunja nadhaniJamaa kama ana miaka michache ni 40
Hv abubakar salum "sure boy" sio mtanzania eeenh?
Endelea na netball Mkuu, football imekukataaKiungo bora wa Tanzania ni Fei Toto, anajua kudribble, anayocontrol, ana pasi za uhakika, Fei namfananisha na Lionel Messi
Huyu ndio kiungo na yule Mudhari hapa TanzaniaHuyu kijana nimekuwa namsikia toka yule kocha wa kibrazil Yupo Tanzania mpaka sasa
Napenda sana mchezo wake huwa namfananisha na andrea pirlo Yule wa The azures Au taribo west wa super eagles
Kwa stail yake ya uchezaji sio rahisi kumuona akipoteza pasi,sio rahisi kuona akifanya faulo za kizembe
Ni Wachezaji wachache wanaoweza kujitunza kama erasto kwa soka la Tanzania kwa kuwa soka la Tanzania halieheshimu vipaji vya Wachezaji ila siasa nyingi
Huwa nafurahi zaidi kumwona anapocheza timu ya Taifa akiwa na yondani
Naomba mwenye Maelezo yake kwenye carrier yake toka anaanza hadi hapa alipofika
Ni moja ya Wachezaji wa kitanzania ninaowakubali sana
Moderetors mkipendezwa huu uzi muwekee stick kumuenzi huyu kiungo maridadi wa mpira kuwahi kutokea nchini
...............................................................
Historia fupi katika maisha yake ya soka
Kipaji chake kiliibuliwa katika mashindano ya vijana mkoa wa Arusha
Baada ya hapo alisajiliwa na AFC ya mkoani Arusha baadaye alitimkia katika club ya VITALO FC ya nchini Burundi kabla ya Azam kumrudisha nchini na kuwa mchezaji tegemeo na sasa anacheza klub cha simba sc
Tutaendelea kuiweka hapa historia yake