alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Mapema mwaka jana mh Rais ulitoa maagizo ya wadau wote wa bandari hapa Tz wafanye kazi kwa masaa 24.
Hali ni tofauti kwa MAERSK hapa Tz wao wameamua ama kwa makusudi au pengine kuna mtu anawalinda kuipuuza amri hiyo halali ya mkuu wa nchi.
Jumapili hawafanyi kazi masaa 24 km agizo la mkuu wa nchi lilivyowataka;kwa nini?!
Wadau wengine km MSC,TRH na wadau wengine siku zote saba za wiki wao hufanya kwa mda wa masaa 24.
Kwa nini MAERSK wameamua kumpuuza mkuu wa nchi?!
Hali ni tofauti kwa MAERSK hapa Tz wao wameamua ama kwa makusudi au pengine kuna mtu anawalinda kuipuuza amri hiyo halali ya mkuu wa nchi.
Jumapili hawafanyi kazi masaa 24 km agizo la mkuu wa nchi lilivyowataka;kwa nini?!
Wadau wengine km MSC,TRH na wadau wengine siku zote saba za wiki wao hufanya kwa mda wa masaa 24.
Kwa nini MAERSK wameamua kumpuuza mkuu wa nchi?!