KERO Maeneo ya Kimara, Ubungo na Mbezi hii ni wiki ya tatu maji hayatoki, sijui shida ni Nini?

KERO Maeneo ya Kimara, Ubungo na Mbezi hii ni wiki ya tatu maji hayatoki, sijui shida ni Nini?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
16,997
Reaction score
23,638
DAWASA sijui kazi yao nini, watu tulitegemea kipindi hiki cha uchaguzi angalau wangetudanganya na kutoa maji lakini wapi kuanzia awamu ya Mkapa, Kikwete maji ni shida sana angalau kipindi cha Magufuli tulikuwa tunapata maji mara 3 kwa wiki na wakati mwingine hata mara 5 kwa wiki

Nini ambacho kaweza hawa wengine wanashindwa nini?
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
You can't stop revolution but you can stop the protest....
 
Juzi mkuu wenu wa wilaya chawa yule alikua anakagua maji mpaka anapanda kwenye matank... sijui kwa nn hamkumtia bomba huko nyuma azalishe maji....😀😀😀
 
Kule kijijini kwenu Lushoto maji yanatiririka milimani umeyakimbia unakuja kuyatafuta mjini?
 
Zaid ya miaka 60 ya uhuru chn ya maccm bado tunazungumzia shda ya maji still mgombea wa maccm ana ahidi kuwaletea maji na umeme watz na kuwananga wapnzan seriously kbs huko kwa kna mwigulu singida huko maji ni anasa sidhan kama nyumban kwa mwigulu wana shda iyo ila anaowangoza sasa na maigzo anayowafanyia ni ajabu tundu lissu mtetez wa watz yupo jera kwa kesi ya uwongo halafu akna samia na wenzake maccm wanaoua na kupoteza watz eti wapo nje wanatamba kwny kampeni.
 
😂😂😂😂😂
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Watu wa huko wote tupige kelele kwa pamoja na kwa nguvu.

Mama mi5 tenaaaa...
 
Back
Top Bottom