Kimara Mwisho tuna shida kubwa sana ya upatikanaji wa maji safi toka DAWASA kuanzia mtaa wa bakery ni upande wa kushoto ukitokea mjini baada ya msikiti kwenda Stopover.
atizo hili ni la muda mrefu sana toka January hadi sasa, maji tunapewa mara moja kwa wiki yaani Jumatatu tuu.
Hapa toka wiki...
Anonymous
Thread
kerokeroyamajikeroyamajikimarakimarakimara mwisho
maji
mwisho
DAWASA sijui kazi yao nini, watu tulitegemea kipindi hiki cha uchaguzi angalau wangetudanganya na kutoa maji lakini wapi kuanzia awamu ya Mkapa, Kikwete maji ni shida sana angalau kipindi cha Magufuli tulikuwa tunapata maji mara 3 kwa wiki na wakati mwingine hata mara 5 kwa wiki
Nini ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.