Maeneo hatarishi zaidi kuweka makazi ya kuishi. Kuwa makini unapochagua kiwanja

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,833
Wote tumeona na kusikia Kikichotokea Hanang na maeneo mengine kama Arusha, Geita na Baadhi ya Nchi jirani Kwa kukumbwa na Mafuriko na maporimoko ya Mawe na uongo.

Kwa tahadhari tu, unapochagua kiwanja cha kujenga na kuweka makazi ya kudumu au taasisi ni vyema maeneo yenye sifa zifuatazo yaepukwe Kwa usalama zaidi.

1. Maeneo ya Kando Kando ya Bahari/Maziwa na Mito Mikubwa
Watu wengi wanapenda kuishi kando ya maeneo hayo ila Kwa taarifa Yako tuu hayo ni maeneo hatari zaidi Kuweka Makazi kwa sababu hukumbwa na Mafuriko(kuongezeka kwa ukubwa wa Maji na kuzamisha maeneo ya mwambao au jirani), Mafuriko yanayoletwa na vimbunga (Libya) au matetemeko ya Ardhi(Indonesia)

2. Mabondeni na maeneo Chepechepe (Mikondo ya Kupitisha na Kutunza Maji)
Watu wamekuwa wakijenga Mabondeni na maeneo yenye Asili ya maji Kwa kujifariji kwamba mkiwa wengi maji yatakimbia. Kwa taarifa yenu tuu ni kwamba Kuna siku maji yatarudi kama ilivyo hapo Jangwani na pia chemchem za kutosha zitatokea na kusababisha majumba kuporomoka.

3. Maeneo Jirani au Kando ya Milima Mikubwa
Maeneo kama haya hata yawe na Misitu ikiyopamba ila ni hayafai Kwa sababu Kuna siku Ardhi itazidiwa na maji(Saturated) na hivyo kusababisha maporimoko ya udongo na mawe. Katesh,Cameroon ,DRC nk.

4. Maeneo ambayo ni prone na Matetemeko na Active Volcano.

Mwisho Majanga ya Asili hayaepukiki (nature balancing) ila tunaweza punguza athari Kwa kuchukua hadhari.
 
1. Maeneo ya Kando Kando ya Bahari/Maziwa na Mito Mikubwa
Watu wengi wanapenda kuishi kando ya maeneo hayo ila Kwa taarifa Yako tuu hayo ni maeneo hatari zaidi Kuweka Makazi kwa sababu hukumbwa na Mafuriko(kuongezeka kwa ukubwa wa Maji na kuzamisha maeneo ya mwambao au jirani), Mafuriko yanayoletwa na vimbunga (Libya) au matetemeko ya Ardhi(Indonesia)


Mbezi beach kuna mafuriko?
 
Wote tumeona na kusikia Kikichotokea Hanang na maeneo mengine kama Arusha, Geita na Baadhi ya Nchi jirani Kwa kukumbwa na Mafuriko na maporimoko ya Mawe na uongo.

Kwa tahadhari tu, unapochagua kiwanja cha kujenga na kuweka makazi ya kudumu au taasisi ni vyema maeneo yenye sifa zifuatazo yaepukwe Kwa usalama zaidi.

1. Maeneo ya Kando Kando ya Bahari/Maziwa na Mito Mikubwa
Watu wengi wanapenda kuishi kando ya maeneo hayo ila Kwa taarifa Yako tuu hayo ni maeneo hatari zaidi Kuweka Makazi kwa sababu hukumbwa na Mafuriko(kuongezeka kwa ukubwa wa Maji na kuzamisha maeneo ya mwambao au jirani), Mafuriko yanayoletwa na vimbunga (Libya) au matetemeko ya Ardhi(Indonesia)

2. Mabondeni na maeneo Chepechepe (Mikondo ya Kupitisha na Kutunza Maji)
Watu wamekuwa wakijenga Mabondeni na maeneo yenye Asili ya maji Kwa kujifariji kwamba mkiwa wengi maji yatakimbia. Kwa taarifa yenu tuu ni kwamba Kuna siku maji yatarudi kama ilivyo hapo Jangwani na pia chemchem za kutosha zitatokea na kusababisha majumba kuporomoka.

3. Maeneo Jirani au Kando ya Milima Mikubwa
Maeneo kama haya hata yawe na Misitu ikiyopamba ila ni hayafai Kwa sababu Kuna siku Ardhi itazidiwa na maji(Saturated) na hivyo kusababisha maporimoko ya Ardhi eg Katesh,Cameroon nk.

4. Maeneo ambayo ni prone na Matetemeko na Active Volcano.

Mwisho Majanga ya Asili hayaepukiki (nature balancing) ila tunaweza punguza athari Kwa kuchukua hadhari.
Uhatarishi uliolenga wewe ni wa Mafuriko tu peke yake....?
 
Wote tumeona na kusikia Kikichotokea Hanang na maeneo mengine kama Arusha, Geita na Baadhi ya Nchi jirani Kwa kukumbwa na Mafuriko na maporimoko ya Mawe na uongo.

Kwa tahadhari tu, unapochagua kiwanja cha kujenga na kuweka makazi ya kudumu au taasisi ni vyema maeneo yenye sifa zifuatazo yaepukwe Kwa usalama zaidi.

1. Maeneo ya Kando Kando ya Bahari/Maziwa na Mito Mikubwa
Watu wengi wanapenda kuishi kando ya maeneo hayo ila Kwa taarifa Yako tuu hayo ni maeneo hatari zaidi Kuweka Makazi kwa sababu hukumbwa na Mafuriko(kuongezeka kwa ukubwa wa Maji na kuzamisha maeneo ya mwambao au jirani), Mafuriko yanayoletwa na vimbunga (Libya) au matetemeko ya Ardhi(Indonesia)

2. Mabondeni na maeneo Chepechepe (Mikondo ya Kupitisha na Kutunza Maji)
Watu wamekuwa wakijenga Mabondeni na maeneo yenye Asili ya maji Kwa kujifariji kwamba mkiwa wengi maji yatakimbia. Kwa taarifa yenu tuu ni kwamba Kuna siku maji yatarudi kama ilivyo hapo Jangwani na pia chemchem za kutosha zitatokea na kusababisha majumba kuporomoka.

3. Maeneo Jirani au Kando ya Milima Mikubwa
Maeneo kama haya hata yawe na Misitu ikiyopamba ila ni hayafai Kwa sababu Kuna siku Ardhi itazidiwa na maji(Saturated) na hivyo kusababisha maporimoko ya Ardhi eg Katesh,Cameroon nk.

4. Maeneo ambayo ni prone na Matetemeko na Active Volcano.

Mwisho Majanga ya Asili hayaepukiki (nature balancing) ila tunaweza punguza athari Kwa kuchukua hadhari.
RADI
  • Hushambulia maeneo yenye mwinuko zaidi ya mita 1,000 kutoka usawa wa bahari.
  • Nyie wa Ruvuma,Njombe,Rukwa,Songwe na Mbeya mpo maeneo hatarishi kwa radi.
 MATETEMEKO
  • Hupigwa maeneo ambapo miamba kukutana
  • Bonde la ufa matokeo ya miamba kukutana
  • Nyanda za Juu na Kaskazini,mpo maeneo hatarishi kwa Tetemeko
CHAMCHELA
  • Hutokana na mgandamizo wa hewa ,haswa maeneo ya ukanda wa Milima
  • Mikoa ya Nyanda za juu hutokea sana hii
MMOMONYOKO WA UDONGO
Hii Dar ,haituhusu,

MAPOROMOKO YA MAWE
Hii Dar haituhusu pia

VOLCANO
HII Dar haituhusu pia

So ,ukiangalia hapo,nyie ndiyo mpo more likely kukumbwa na Majanga kuliko Dar....
Hakuna sehemu salama
 
RADI
  • Hushambulia maeneo yenye mwinuko zaidi ya mita 1,000 kutoka usawa wa bahari.
  • Nyie wa Ruvuma,Njombe,Rukwa,Songwe na Mbeya mpo maeneo hatarishi kwa radi.
 MATETEMEKO
  • Hupigwa maeneo ambapo miamba kukutana
  • Bonde la ufa matokeo ya miamba kukutana
  • Nyanda za Juu na Kaskazini,mpo maeneo hatarishi kwa Tetemeko
CHAMCHELA
  • Hutokana na mgandamizo wa hewa ,haswa maeneo ya ukanda wa Milima
  • Mikoa ya Nyanda za juu hutokea sana hii
MMOMONYOKO WA UDONGO
Hii Dar ,haituhusu,

MAPOROMOKO YA MAWE
Hii Dar haituhusu pia

VOLCANO
HII Dar haituhusu pia

So ,ukiangalia hapo,nyie ndiyo mpo more likely kukumbwa na Majanga kuliko Dar....
Hakuna sehemu salama
Vipi kuhusu Tsunami inazuilika?.
 
Vipi kuhusu Tsunami inazuilika?.
  • Tsunami hutokana na Tetemeko ndani ya Bahari,,na Tetemeko hutokea sehemu zenye major fault lines,ambapo kwa Pwani zote za Afrika,fault lines zipo mbali sana ,na ndiyo mana Afrika hakunaga matetemeko ya ardhi....
  • Isipokuwa Kaskazini mwa Afrika,Kuna fault line ya Bara Ulaya imepita Ugiriki ,Italy na Spain...hiyo ndiyo chanzo cha matetemeko Morocco na Algeria
  • Afrika ndiyo bara pekee lipo safe zone ya matetemeko mkuu,so chillax
 
  • Tsunami hutokana na Tetemeko ndani ya Bahari,,na Tetemeko hutokea sehemu zenye major fault lines,ambapo kwa Pwani zote za Afrika,fault lines zipo mbali sana ,na ndiyo mana Afrika hakunaga matetemeko ya ardhi....
  • Isipokuwa Kaskazini mwa Afrika,Kuna fault line ya Bara Ulaya imepita Ugiriki ,Italy na Spain...hiyo ndiyo chanzo cha matetemeko Morocco na Algeria
  • Afrika ndiyo bara pekee lipo safe zone ya matetemeko mkuu,so chillax
.
 
Sheria ya ardhi, sheria ya mipango/matumizi ya ardhi, sheria ya mazingira na kanuni zake zimetaja maeneo hatarishi ni maeneo ya aina gani na nini kifanyike, lakini serikali imeshindwa kuzisimamia hizo sheria.

Inashangaza kuona viongozi wa serikali wanawaomba watu waliojenga mabondeni kuondoka. Unawaombaje watu walkovunja sheria?. Matokeo yake hawaondoki, wanapatwa na majanga serikali inapeleka misaada kwa gharama kubwa.

Hovyo kabisa!.
 
1. Maeneo ya Kando Kando ya Bahari/Maziwa na Mito Mikubwa
Watu wengi wanapenda kuishi kando ya maeneo hayo ila Kwa taarifa Yako tuu hayo ni maeneo hatari zaidi Kuweka Makazi kwa sababu hukumbwa na Mafuriko(kuongezeka kwa ukubwa wa Maji na kuzamisha maeneo ya mwambao au jirani), Mafuriko yanayoletwa na vimbunga (Libya) au matetemeko ya Ardhi(Indonesia)


Mbezi beach kuna mafuriko?
cheki yanayotokea Lamu hivi sasa, maji ya bahari yamejaa kwenye makazi yaliyo karibu na pwani mpaka wenyewe wameshangaa wanasema hawajawahi kuona tukio kama hilo.

Kwa hivyo na wewe usijiaminishe kuwa huko Mbezi beach kila siku kutakuwa shwari kwani bahari haitabiriki.
 
  • Tsunami hutokana na Tetemeko ndani ya Bahari,,na Tetemeko hutokea sehemu zenye major fault lines,ambapo kwa Pwani zote za Afrika,fault lines zipo mbali sana ,na ndiyo mana Afrika hakunaga matetemeko ya ardhi....
  • Isipokuwa Kaskazini mwa Afrika,Kuna fault line ya Bara Ulaya imepita Ugiriki ,Italy na Spain...hiyo ndiyo chanzo cha matetemeko Morocco na Algeria
  • Afrika ndiyo bara pekee lipo safe zone ya matetemeko mkuu,so chillax
ila tsunami ya mwaka 2006 iliyotokea Indonesia, athari yake ilifika mpaka Afrika ya Mashariki ikiwemo Tanzania.
 
Back
Top Bottom