Maeneo flani hivi Kijijini...Kilimanjaro.

Maeneo flani hivi Kijijini...Kilimanjaro.

Wachaga acheni zenu nendeni Tarime mkaone sio kusifia vibanda vyenu hivyo
 
3b164f7c098c606be8c110e3da107bdf.jpg

Hawa jamaa hawanag tofaut na wahaya yan full kujikweza tu
 
Hawa jamaa hawanag tofaut na wahaya yan full kujikweza tu
Hivi mtu kaleta picha hapa wapi kajikweza?Kwa hiyo na wale wanaopiga picha BOT na kupost wanajikweza?

Tuache hizo tusifie vya kwetu kuna watu walikua hawajawai kuona hilo jengo kesho wanaeza enda hata kuangalia na kufanya Utalii wa ndani

kwanini hatupendi kusifia vya kwetu that why mtu unaenda nchi za wengine unakataa hata kusema umetoka Tanzania

Kila mtu kwetu Dar angeweka daraja la kigamboni hapo labda ndo ingekua afadhali siyo...
 
Hivi mtu kaleta picha hapa wapi kajikweza?Kwa hiyo na wale wanaopiga picha BOT na kupost wanajikweza?

Tuache hizo tusifie vya kwetu kuna watu walikua hawajawai kuona hilo jengo kesho wanaeza enda hata kuangalia na kufanya Utalii wa ndani

kwanini hatupendi kusifia vya kwetu that why mtu unaenda nchi za wengine unakataa hata kusema umetoka Tanzania

Kila mtu kwetu Dar angeweka daraja la kigamboni hapo labda ndo ingekua afadhali siyo...

Hujaelew nn nmemaanish ndo maan so pga chn
 
Hivi mtu kaleta picha hapa wapi kajikweza?Kwa hiyo na wale wanaopiga picha BOT na kupost wanajikweza?

Tuache hizo tusifie vya kwetu kuna watu walikua hawajawai kuona hilo jengo kesho wanaeza enda hata kuangalia na kufanya Utalii wa ndani

kwanini hatupendi kusifia vya kwetu that why mtu unaenda nchi za wengine unakataa hata kusema umetoka Tanzania

Kila mtu kwetu Dar angeweka daraja la kigamboni hapo labda ndo ingekua afadhali siyo...
Kaka watu wanawaonea wivu sana...
Vijijini kwao kumejaa matembe na vinyumba vya nyasi wakiona maghorofa vijiji vya Kilimanjaro mapovu yanawajaa
 
Kuna hoteli moja imejengwa katikati ya mikahawa hapo barabara ya kupanda kwa Mrema kupitia KNCU mbele ya Kinyange yaani ni balaa. Yaani mount meru Arusha ni cha mtoto
Si mchezo...
Tanzania hii hakuna kabisa vijiji vya hivi!
Kuna mdau aliwahi kutoa mada hapa kuwa Kilimanjaro ndiyo lango la Tanzania
 
Marangu iyo hapo kuna pacha inajigawa moja waenda airport nyingine waitafuta rombo....
 
Back
Top Bottom