Maendeleo yanaheshimu rangi?

Ukoloni ulichelewesha maendeleo Africa..lakini bado waliacha mifumo yao ya kibabylon

Kwanini tumeacha culture zetu tumecha utamaduni na mila baada ya uhuru tukacopy tamaduni za waliotutawala?
system nyngi bara la Afrika tulirithi kwao we need to change
 
Hao weusi wamefikaje magerezani? Wameonewa?
Siwezi kujibu hilo, ila Kuna makala nyingi zinazoelezea 'access' ya weusi kwa mfumo wa kisheria wa huko Marekani.

Mfano ni rahisi Sana kwa police wa huko kumsimamisha na kumkagua mtu yeyote akihisi ni muhalifu tofauti na kwa mtu mzungu...au uendeshaji wa kesi na aina ya hukumu zinazotolewa baina ya hayo makundi, Kuna kundi moja wapo ni rahisi kupewa kifungo nafuu na lingine kirefu kwa makosa ya aina moja


 
Shida kubwa kukosa uaminifu, rangi siyo tija hata white men wapo masikini
 
Tumbili mtu habari za jion?

Menu
Gorillas 98% Similar to Africans!
Posted: 8 March 2012
By Volcanoes Safaris
Scientists in Cambridge, UK, have decoded the DNA of the gorilla, finding that they are 98% similar to Africans at a genetic level, which makes them more similar to man than previously thought.

For the whites, the scientific findings are showing 93% similarity..
 
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Rangi ya ngozi haina maana yeyote maana hata Afrika wapo watu wana rangi nyeupe pee tena ya kuzaliwa, haya ni mambo ya historia yaliyobeba ustaarabu na experience za maisha.

Someni kitabu cha "Guns,Germs and Steel" cha Jared Diamond.
Hatupaswi kusingizia historia juu ya kushindwa kwetu.
Mkoloni aliotoa equal opportunity kwa race zote, maendeleo sio utamaduni wetu,hata sasa mbona whites wanakuja masikini wanatajjrikia huku huku Africa.Tabia za waafrika ujulikana wakiwa na pesa ni ulimbukeni kwenda mbele.
 
Pumba tupu! Akili fupi kwelkwel! Sasa anayekutawala ni wazi amekuzidi! Tunarudi palepale.
 
Kuna mtu amesema neno zuri sana hapo juu asipuuzwe... Kwamba maendeleo ni msamiati ulioletwa na hao hao watu kwahiyo hata tafsiri zake zinakaa kwa namna walivyotaka wao, huenda tukiileta tafsiri ya kikwetu kwetu (kiafrika) ikawa sisi tuna maendeleo zaidi. Nakazia- ANGALIA HATA TAFSIRI YA USTAARABU WANAYOITAKA WAO NA NAMNA TULIVYO WAAFRIKA, matokeo yake kila siku tunafanywa tujione eti hatuna ustaarabu kisa tu...!
 
Ukisikia "unanijua mimi ni nani?", ujue:
1. Labda ana tuhela, au
2. Ana kacheo, au
3. Ana kaelimu

Ni ulimbukeni tu!
 
Hapo mkuu bado hauna majibu kwa nini waafrika wawe nyuma kimaendeleo, utaishia tu kutoa lawama na ndio maana humu kila mtu anatoa sababu zake ambazo zengine hata hazi make sense kuwa et ndio sababu ya sisi kuwa nyuma kimaendeleo. Na inapozungumziwa historia inakwenda mbali zaidi ya issue ya huo ukoloni hapo.
 
Mwafrika anakuwa vipi na maendeleo kwa tafsiri ya maana ya watu wa Magharibi, maendeleo ni mfumo wa watu weupe waasisi ni wayahudi kisha wazungu then kwa mataifa mengine.
Sisi tuna tafsiri yetu ya maendeleo kiasili ambayo ni wake wengi watoto wengi mifugo mingi mashamba mengi.
Labda tu jifunze sasa,pili zile principal za maendeleo mwafrika hana mfano uaminifu,uchapakazi,bidii na maarifa,kuacha zinaa ni race gani inafanya sana ngono jibu unalo zinaa na utajiri au utafutaji haviendani.
 
Maendeleo hawezi kutamkika/kuwepo kabla hajatangulia Juhudi. So Juhudi akishakuwepo basi na maendeleo anatokeza
 
Maendeleo yanaendana na thamani ya pesa kaka,Sasa kwenye hizo nchi ulizo taja angalia currency value then utaniambia nchi gani ni master
 
Kila siku nasema, there is something wrong with watu weusi. Tuna uwezo mdogo kiakili. Hata tukikataa, matendo yetu yanadhihirisha hivyo.

Watu weupe wametuzidi akili na uwezo​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…