Maendeleo ya Mgomo wa Madaktari na Mwitikio wa Serikali

wivu gani wewe punga bwabwa?.....hivi nani amwonee wivu daktari? akili zake kama ni za kugoma huku akishuhudia wananchi wanakufa, mtu wa aina hiyo si hana maana tu?..kwanza madaktari wenyewe hawana akili kudeserve mshahara mkubwa? kwasababu ni walevi na hawana maadili...mbona mnashindwa kutibu watu na kuwaambia waende india? mlikuwa mnasoma vitabu tofauti na ville vya madaktari wa india?..hopless teethless dogsss.
Hasira za nini? wewe si upeleke ndugu zako private hospital huduma zinaendelea, umesikia hata wagonjwa wanaomba serikali iwasikilize madaktari wewe unawapinga, hata mimi nadhani una wivu tu ila hutaki kukubali. Wewe hata akili ya kusoma udaktari huna ndio maana unawaonea wivu.
 
Wameripoti hovyo sana.Wamerusha picha hospitari za umma wagonjwa wamehama,lakini hawajatoa msisitizo wa kutosha kuonesha ukubwa wa tatizo.
 
nimejiuliza sana hili swali, mfano baba unafanya kazi, mshahara wako si mkubwa na bajeti yako ndani ya nyumba ni ndogo ya kujinyima...wanatokea watoto wengine ndani yanyumba wanamwambia baba sisi ni wa muhimu kuliko watoto wako wengine, tunataka ugali mkubwa zaidi, au tunataka tupewe share kubwa zaidi toka kwenye mshahara wako baba...

Tanzania ni nchi ambayo kila mwaka bajeti inayumba, hatuna hela yaani hadi akina cameroon wanataka kufanya watu washikishwe ukuta ili tupewe hela....katika wakati huohuo, wapo watz wengine wanaojiona wao ni kundi la muhimu kuliko wengine...na linatakiwa kupata share kubwa kuliko wengine....

Najua yote haya yametokea kwasababu ya posho za wabunge...lakini hili la madaktari nimelichukia kupita kiasi, na ninaomba nitoe dukuduku langu moyoni hata kama wengine hawatapenda.

Hivi daktari analipwa shilingi ngapi hata tz?...jamani, mwalimu analipwa shilingi ngapi? Polisi analipwa shilingi ngapi? Wafanyakazi secta zingine za umma wanalipwa shilingi ngapi? Je? Tukiidai serikali itulipe pesa yeyote tunayotaka itatoa wapi pesa?

Nimetoka hospitali, nimeshuhudia watu wamekufa hivihivi kwasababu ya huu mgomo...hawa watu wamekosa nini? Tunatakiwa kusacrifice maisha ya watz wasio kuwa na pesa za kwenda private hospitals ili watu waongezewe mshahara? Je? Wanaoumia hapa ni masikini au wenye pesa? Hao wenye pesa hata siku moja walishawahi kwenda public hospitals?

Kama nyie madaktari mnataka kuongezewa mshahara na marupurupu, mnataka serikali inunue kutokana na pesa zipi? Halafu,nyie ni watu wa muhimu kuliko watz wengine? Mbona madaktari wanapata mshahara bora kuliko watz wengine, pamoja na kwamba mnapata mshahara mkubwa mnajiona nyie ni wa muhimu kuliko wengine? Kama tusingeugua nyie mngapata wapi ajira? Udaktari wenu wenyewe ni hovyo tu mbona mnashindwa magonjwa magumu hadi tunachanga hela watu waende india? Katika wakati mgumu kwa serikali kama huu, hivi kwanini msiwe na moyo wa huruma kuwatumikia hawa watz masikini jamani? Inamaana hampati chochote? Ni kwasababu mnaona serikali imebanwa mahali pagumu hivyo mnachukua advantage of that?

Kwani nyie madaktari bila walimu mngekuwepo? Bila polisi hiyo mishahara yenu minono si ingenyang'anywa n amajambazi? Bila wanasheria nyie wote si mngedhulumiwa hizo mali zenu na hakuna pa kukimbilia? Bila wafanya kazi wa bank hizo pesa mngeziweka wapi, bila sekta yeyote ile nyie mngaishije? Ni kwanini watu wengine wanajiona wao ni wa muhimu kuliko wengine bila kujua kuwa sisi sote tunaishi kwa kufaidiana na sisi sote ni wa muhimu kwa mwenzie...achani kiburi cha kip.umbavu...hamna akili kabisa elimu yenu haijawasaidia na mmesoma ili mpate pesa hamjasoma ili kuwahudumia wanadamu wenzenu. Mungu atawalaani mpate viharusi na hamtatibiwa halafu udaktari huo wapewe wengine ambao wana moyo kuhudumia watu...mmepewa talanta mmeshindwa kuitumia...mtanyang'anywa wapewe wengine...hoplessssssssssssssssss.

ukifikisha miaka 18 utajua kinachoendelea
unaushauri gani kuhusu posho za wabunge na maofisa wenginw wa sarikali ?
 
Rai yangu kwa wananchi wanaijifanya wana huruma: Andamaneni hadi kwa kikwete ikulu, mumwambie madaktari hawana huruma, tekeleza madai yao warudi kazini.
 
jamaa anajadili uchumi Davos kwenye mabarafu,anachekacheka tu,waziri mkuu ana ratiba na wageni wengine ofcn kwake,makamu wa rais yupo ziarani tanga,watarudi next wk,nilimuona mkuu wa mkoa na wengine hosp,sijui walikuja kutibu?

Mkuu inasikitisha sana kwa kweli,watanzania sijui hatujitambui au ni nini?jamaha davos naona watakua wanamchora tu!kuna habari moja nimesoma kwy mtandao habari fulani ya gazeti la guardian la uk kuhusu Jk na Davos,dah!kweli wazungu si kua wanatushangaa tu,bali na kutudharau pia!
 
Kama nyie madaktari mnataka kuongezewa mshahara na marupurupu, mnataka serikali inunue kutokana na pesa zipi? halafu,nyie ni watu wa muhimu kuliko watz wengine? MBONA MADAKTARI WANAPATA MSHAHARA BORA KULIKO WATZ WENGINE, pamoja na kwamba mnapata mshahara mkubwa mnajiona nyie ni wa muhimu kuliko wengine? kama tusingeugua nyie mngapata wapi ajira? udaktari wenu wenyewe ni hovyo tu mbona mnashindwa magonjwa magumu hadi tunachanga hela watu waende india?

1. Umuhimu na thamani ya taaluma fulani wanaijua vizuri wenyewe wahusika
2. Kuendelea kuwa Daktari, si lazima kuwe na wagonjwa, ndyo maana kitu cha kwanza wanachosomea ni kuzuia magonjwa
3. Mshahara wa Madaktari unaonekana mkubwa unapolinganishwa na watumishi wengine, hii si sahihi, mshahara wa watumishi wa kada zingine si benchmark ya kupanga maslahi ya madaktari, kila kada ipiganie kivyake, kama wanalivyofanya wabunge.
4. Huduma za tiba zinaendelea kutolewa na waganga wa jadi/sangomas, ambao wana leseni halali za ku-practice "altenative medicine" na ni wengi kuliko wa hospitalini, na kila mwaka kuna >5,000 graduates, pia wakemeaji mapepo (Lusekelo a.k.a Transfoma et al) wanaendela kutoa huduma, kusipokuwa na mgomo wagonjwa wengi >60% wanatibiwa huko, sasa malalamiko ya nini? wao hawagomi kwa kuwa mnawapelekea hela nyingi sana bila kulalamika!, ila madaktari wakidai haki zao wanaonekana wabaya, aaaagh!
 
Safari ya kifo ya rafiki yangu Resto Mwakyambiki imeanzia hospitali ya Mafiga jana jioni. Homa na matatizo ya kupumua yaliyombana gafla yalikosa msaada Hapo mafiga baada ya manesi kutuarifu kuwa daktari aliyetakiwa kuwepo hakuripoti jana. Iliandikwa rufaa kwenda hospitali ya mkoa. Tulifika pale, mgonjwa akapokelewa bila kumuona daktari na kulazwa ktk moja ya wodi kwani madaktari wote hawakuwepo kazini. Masaa matatu baadae rafiki yangu alibadilika kuwa marehemu kabla hajapewa hata aspirin.!
 
Hata madaktari wakiwa ofisini kama kawaida bila mgomo huwa hali inakuwa si nzuri sana kwa sababu ya uchache wao. Sasa baadhi yao wamegoma halafu mtu anasema hali si mbaya sana utafikiri ilishawahi kuwa nzuri. Kwa ujumla hata madaktari wakiwa wanafanya kazi zao kama kawaida hali inakuwa ni ya wastani na sio kusema ni nzuri.
 
Hitatokea tbc wakasema ukweli kuhusu ukweli halisi,ndio maana wenye madaraka walimfukuza Tido kwa kuwa mkweli na asiyepindisha maneno.Pole mtanzania Feki.
 
We unafanya kaz huko nn au ndo walewale msojitambua unawezaje kutetea cheus kua cheupe?badilka bas hata kdogo 2.
 
DSC06710.JPG DSC06710.JPG DSC06710.JPG DSC06710.JPG DSC06710.JPG
 
Mie nilisha achana na hapa nilipo gundua kwamba Mayapa Pasco yuko maana ni kinara wa vibahasha unategemea nini ?
 
Back
Top Bottom