Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dr John Pombe Joseph Magufuli amezidi kupata wakati mgumu baada ya kila mwanainch kutaka kumshika mkono katika kila eneo analopita kutokana na ubora wake na namna alivyokaribu na wanainchi, wengine hutoa machozi ya furaha wanapomuona Magufuli, kwa kusema kweli huyu ni Chaguo la Mungu.
Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kutoa elimu bure
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa ubora wake
Maelfu ya umati ukimsikiliza Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli
Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kutoa elimu bure
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa ubora wake
Maelfu ya umati ukimsikiliza Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli