uzuri nshomire wasomi wengi, hawafikirii lwa kutumia mackalio, kuchagua ukawa laIma ufikiri kwa kutumia makalio.
uzuri nshomire wasomi wengi, hawafikirii lwa kutumia mackalio, kuchagua ukawa laIma ufikiri kwa kutumia makalio.
Hao sio wakazi wa hapa bukoba,ni wakazi wa ngara,chato,izimbya,ibwera,nshamba,nk walioletwa na zaidi ya lori 60,na mabus kadha wa kadha,mji ulikuwa umevamiwa na wageni,tunamshukuru MUNGU wameondoka tunaendelea na mapambano mpaka maccm yang'oke,bukoba tunakamsemo ketu ka kiukawaukawa kananasema,"LOWASA GUMA ABAKAZI NA BASHAIJA TULIMU" Ikiwa na maana kwamba,lowasa usihofu wanaume na akina mama wa bkb wakonawe
Pigeni kelel kura yangu si wapi chama cha mtei wakajenge ikulu yao huko
Vijana wa Tanzania ni mbumbumbu kama nyumbu. Hawajui wanachokitaka kutoka UKAWA. Ingekuwa Ukawa ya Dr Slaa na akina Lissu na Halima Mdee na John Mnyika ningewaelwa. Lakini unasema unataka mabadiliko kwa kuongozwa na Lowassa na Sumaye, ambao kwa miaka 12 ndiyo walikuwa wanasimamia utekelezaji wa sera za CCM. Huo ni upumbavu. Ni Magufuli tu ndiye anayetufaa