- Thread starter
- #21
Last edited by a moderator:
Magufuli kama Obama
Ni chaguo la wanaosombwa na mafuso.
Mbona watu wote wamevaa kijani?
Ndio mnaowaandaa na kuwazomba na kuwalipa wekundu.
Kuna ulaji ccm wakati wa kampeni.
Kura zote wanampa Lowassa.
Imethibitishwa na kulialia kwa POMBE kuwa wanamuunga mkono papo hapo kumbe ni upinzani.
urais kazi kweli kweli!Magufuli kama Obama
Nshomile wa bukoba wanavyopenda elimu,uwaambie elimu bure mpaka chuo kikuu wachague elimu ya form 4??!!! Bojo bojo,nshomile anafikilia zaidi digrii kuliko hicho ki form 4
Magufuli kama Obama
Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dr John Pombe Joseph Magufuli amezidi kupata wakati mgumu baada ya kila mwanainch kutaka kumshika mkono katika kila eneo analopita kutokana na ubora wake na namna alivyokaribu na wanainchi, wengine hutoa machozi ya furaha wanapomuona Magufuli, kwa kusema kweli huyu ni Chaguo la Mungu.
Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kutoa elimu bure
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa ubora wake
Maelfu ya umati ukimsikiliza Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli