Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
Kama rafiki wa CCM wewe ukiwa si mwanaccm nani atakupa kibali cha kwenda kufanya kazi kwa rafiki yao.Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.
Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.
Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCM pia.