johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Huwezi kutua London bila kuchanja,na watanzania mmemgomea step momUingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.
Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.
Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania hiina CCM pia.
Sisi tulishachukuaga meli enzi hizo bwashee!Changamkia hiyo fursa,ama wewe sii miongoni mwa vijana?
Chanjo unapata kwenye ubalozi wao bwashee, ile Astra zeneca!Huwezi kutua London bila kuchanja,na watanzania mmemgomea step mom
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.
Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.
Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCM pia.
Endelea kukariri, wajanja wa hapo Ufipa akina Mrangi wanachangamkia tenda.Acheni kuokoteza habari kuwa kazi hizo zipo.
Uingereza imesema ina upungufu wa madereva wa malori ikibidi wataendesha wanajeshi wake si madereva kutoka nchi za magaidi!
Kuendesha gari kwa beberu? Tena lori? Hujui hilo ni bomu? Kwani leseni zetu hata anazitambua?
Kwa hiyo wewe bahari unachombo gani kwa sasa tugongee mishi?Sisi tulishachukuaga meli enzi hizo bwashee!
W
Hizi ni nyakati za akina Kinyungu na Tindo!
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.
Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.
Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCMM
Kwa relative egg🤣🤣🤏🤌Endelea kukariri hapo hapo kwenu Kongwa!
Hizo ni kwa ajili ya kijani wanaozurura pale mtaa wa kijani,ombeni connection kabla hamjachelewa.Bavicha haya kazi kwenu.
Hahahaaaa....... Hii haina itikadi bwashee!Hizo ni kwa ajili ya kijani wanaozurura pale mtaa wa kijani,ombeni connection kabla hamjachelewa.
Kwani kuombana kadi siku hizi imeisha?Hahahaaaa....... Hii haina itikadi bwashee!
Kule ni Ulaya bwashee!Kwani kuombana kadi siku hizi imeisha?
Nkaendeshe lory nipinduke nalo then lilipuke nife kabla ya umri wangu. SitakiUingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.
Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.
Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCM pia.