Maelfu ya vijana wanahitajika kuendesha malori ya mafuta Uingereza

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,532
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.

Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.

Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCM pia.
 
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.

Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.

Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania hiina CCM pia.
Huwezi kutua London bila kuchanja,na watanzania mmemgomea step mom
 
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.

Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.

Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCM pia.

Acheni kuokoteza habari kuwa kazi hizo zipo.

Uingereza imesema ina upungufu wa madereva wa malori ikibidi wataendesha wanajeshi wake si madereva kutoka nchi za magaidi!

Kuendesha gari kwa beberu? Tena lori? Hujui hilo ni bomu? Kwani leseni zetu hata anazitambua?
 
Acheni kuokoteza habari kuwa kazi hizo zipo.

Uingereza imesema ina upungufu wa madereva wa malori ikibidi wataendesha wanajeshi wake si madereva kutoka nchi za magaidi!

Kuendesha gari kwa beberu? Tena lori? Hujui hilo ni bomu? Kwani leseni zetu hata anazitambua?
Endelea kukariri, wajanja wa hapo Ufipa akina Mrangi wanachangamkia tenda.

Dunia ni kijiji!
 
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.

Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.

Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCMM

MI NASUBIRIA TENDA YA KUGAWA MBEGU ZA KIUME HUKO UZUNGUNI,
 
Uingereza ina uhaba mkubwa wa madereva wa malori kwa sasa hali iliyopelekea kuwepo uhaba wa mafuta vituoni na jeshi la nchi hiyo linajaribu kuingilia kati kwa kutoa madereva.

Hivyo mtanzania yoyote mwenye fani hiyo mchongo ndio huo hauhitajiki kuwa na kadi ya chama.

Usijesema ajira hakuna, Uingereza ni rafiki wa Tanzania na CCM pia.
Nkaendeshe lory nipinduke nalo then lilipuke nife kabla ya umri wangu. Sitaki
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom