Maelfu ya watu wamekusanyika katika jiji la Maroua, kaskazini mwa Cameroon, kumuunga mkono mgombea wa upinzani Issa Tchiroma Bakary, siku chache kabla ya uchaguzi wa urais utakaofanyika Oktoba 12, 2025
Hii inajiri wakati Rais Paul Biya , mwenye umri wa miaka 92, anatafuta kuendeleza utawala wake wa zaidi ya miaka 43 kwa muhula wa nane. Hata hivyo, Bakary anasema ana imani kubwa kwamba anaweza kushinda dhidi ya matarajio.
Wafuasi wa Tchiroma wanasema wamechoshwa na hali ya kukosa mabadiliko katika taifa ambalo limekwama kwa miaka mingi kisiasa
Jaribio la Biya kuwania tena urais linakuja huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kuhusu uhalali wa uchaguzi, ambapo mamlaka zimekuwa zikituhumiwa mara kwa mara kupendelea chama tawala
Soma pia Rais wa Cameroon Paul Biya afanya Mkutano wa Kampeni yake ya kwanza, baada ya kutoonekana kwa muda mrefu
Source: African news
Hii inajiri wakati Rais Paul Biya , mwenye umri wa miaka 92, anatafuta kuendeleza utawala wake wa zaidi ya miaka 43 kwa muhula wa nane. Hata hivyo, Bakary anasema ana imani kubwa kwamba anaweza kushinda dhidi ya matarajio.
Wafuasi wa Tchiroma wanasema wamechoshwa na hali ya kukosa mabadiliko katika taifa ambalo limekwama kwa miaka mingi kisiasa
Jaribio la Biya kuwania tena urais linakuja huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kuhusu uhalali wa uchaguzi, ambapo mamlaka zimekuwa zikituhumiwa mara kwa mara kupendelea chama tawala
Soma pia Rais wa Cameroon Paul Biya afanya Mkutano wa Kampeni yake ya kwanza, baada ya kutoonekana kwa muda mrefu
Source: African news