Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,592
- 5,481
Yaani watanzania sijui ni nani aliyeturoga wakati dunia za wenzetu uko wanawaza kwenda kufana utafiki mwezini sisi ndio kwanza tunaongelea wasap wakati wao teknolojia iyo wanatumia watoto wa shule,Yaani sasa Tanzania wakati tuwaze mambo ya dunia inavyokwenda bado tunakampeni ya kuhamasisha kampeni ya nyumba ni choo yaani hao wazungu wacha watuzarau kwakweli