Tz-guy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 436
- 88
Wakuu habari za kazi?
Kutokana na Chama cha Mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kutaka uwepo wa Serikali mbili, huenda kuna jambo zuri la Kitaifa ambalo mimi na baadhi ya Watanzania wengine hatulifahamu.
Hivyo basi; kama kama kuna mtu anaweza kutoa maelezo ya kina juu ya umuhimu wa Serikali mbili ni vizuri akatuelewesha.
ANGALIZO:
Facts katika maelezo husika ni muhimu ikizingatiwa kuwa Mh. Jaji Warioba katoa somo lililoenda shule kuhusu Serikali tatu.
Kutokana na Chama cha Mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kutaka uwepo wa Serikali mbili, huenda kuna jambo zuri la Kitaifa ambalo mimi na baadhi ya Watanzania wengine hatulifahamu.
Hivyo basi; kama kama kuna mtu anaweza kutoa maelezo ya kina juu ya umuhimu wa Serikali mbili ni vizuri akatuelewesha.
ANGALIZO:
Facts katika maelezo husika ni muhimu ikizingatiwa kuwa Mh. Jaji Warioba katoa somo lililoenda shule kuhusu Serikali tatu.