Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Hapo atakuambia simjui huyu mmliki kwa sababu siku alipokuja sikuwapo nchini nilikuwa MauritaniaGongo la Mboto + mkwere Mauritania + mwenye Dowans Dar = ???????
Hapo atakuambia simjui huyu mmliki kwa sababu siku alipokuja sikuwapo nchini nilikuwa MauritaniaGongo la Mboto + mkwere Mauritania + mwenye Dowans Dar = ???????
Crap....kama ni mtz, basi una problew kubwa, kama ni shemeji yetu basi usiongee kabisa...matatizo mliyonayo ni mengi mno.Hili domo mnapiga mnapata wapi muda?Hakuna kitu mtafanya!Mnatia huruma sana!Una maana gani kuniuliza hilo swali?
Sijui kama hapa ni mahali muafaka kwa hii lakini taarifa zilizonifikia hivi punde ni kuwa yule mwarabu anayetajwa kuwa ndiye mmiliki wa Dowans, Brigedia Jenerali (mstaafu) Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi wa Oman, amemaliza mkutano wake na baadhi ya wahariri katika moja ya hoteli katikati ya jiji.
Taarifa zinaeleza kuwa amesema yupo tayari kujadiliana na serikali kuhusiana na
1. Fidia iliyoamriwa kulipwa na
2. matumizi ya mitambo yake iliyopo Ubungo.
Yupo tayari kuruhusu izalishe umeme kama makubaliano yatafikiwa.
Am speechless, inaudhi sana. Unaweza kuporomosha matusi hivihivi
Nijuavyo huyu alishawahi kuikana iweje leo awe mmiliki.
Nijuavyo mie huyu bwana kawekeza kwenye kiwanda cha kuchambua pamba lakini kikitumika pia ku-finance mambo ya dini fulani.
Hili kanyaboya coz mmiliki wa Dowans twamjua ni RA. Je, wamemwuliza ilikuwaje wakatoa PoA yenye mamlaka kubwa kiasi hicho kwa RA wakati si mwanahisa wala mkurugenzi wa Dowans.
Tatizo waandishi wetu wengi wanaenda kwenye press conference pasi maandalizi
Aliulizwa hilo swali, amekana kuwa imeuzwa na anasisitiza kuwa bado anaimiliki yeye
Gongo la Mboto + mkwere Mauritania + mwenye Dowans Dar = ???????
Hili domo mnapiga mnapata wapi muda?Hakuna kitu mtafanya!Mnatia huruma sana!Una maana gani kuniuliza hilo swali?
Nijuavyo huyu alishawahi kuikana iweje leo awe mmiliki.
Nijuavyo mie huyu bwana kawekeza kwenye kiwanda cha kuchambua pamba lakini kikitumika pia ku-finance mambo ya dini fulani.
Hili kanyaboya coz mmiliki wa Dowans twamjua ni RA. Je, wamemwuliza ilikuwaje wakatoa PoA yenye mamlaka kubwa kiasi hicho kwa RA wakati si mwanahisa wala mkurugenzi wa Dowans.
Tatizo waandishi wetu wengi wanaenda kwenye press conference pasi maandalizi
Nijuavyo huyu alishawahi kuikana iweje leo awe mmiliki.
Nijuavyo mie huyu bwana kawekeza kwenye kiwanda cha kuchambua pamba lakini kikitumika pia ku-finance mambo ya dini fulani.
Hili kanyaboya coz mmiliki wa Dowans twamjua ni RA. Je, wamemwuliza ilikuwaje wakatoa PoA yenye mamlaka kubwa kiasi hicho kwa RA wakati si mwanahisa wala mkurugenzi wa Dowans.
Tatizo waandishi wetu wengi wanaenda kwenye press conference pasi maandalizi
SERIKALI na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), bado wanaendelea na mazungumzo ya kununua mitambo ya Dowans, MwanaHALISI limegundua.
"Kwa ushahidi uliopo, madai yote ya kujiondoa katika mjadala wa kununua mitambo ya Dowans ni kiini macho; na mjadala mkubwa juu ya ununuzi ndio hasa umepamba moto," kimeeleza chanzo cha habari.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa anayedaiwa kuwa "mmiliki" wa kampuni ya Dowans Holding Tanzania Limited, Jenerali Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), zinasema serikali imemhakikishia kununua mitambo yake......
Hapo atakuambia simjui huyu mmliki kwa sababu siku alipokuja sikuwapo nchini nilikuwa Mauritania
Mkuu usidhani kwasababu mimi nimgeni kwa kujiunga hapa basi nilikuwa sisomi hii jf,nimeisoma tokea ikiwa Jambo Forum....Kama yanayozungumzwa humu yangekuwa yanafanya kazi,basi tungekuwa na serikali ya tofauti hivi sasa.Nasema ni upotevu wa muda kwasababu haya yamezungumzwa tokea 2006 na bado wananchi wameiridhia serikali iendelee na madaraka kwasababu wamefurahishwa na mwelekeo wake.Kelele zilianza kupigwa tokea enzi za buzwagi,EPA,Richmond ambayo sasa ndo imegeuzwa imekuwa new topic kama unavyotaka tuelewe?Ama kwasababu tu sasa ni dowans na huyo sijui mmiliki anakuja?whats the difference?Richmond aka dowans ilipokuja wananchi walijua na bado wanajua na bado walimchagua JK na serikali yake kuendeleza maendeleo ya umeme nk.
Mimi nadhani ni bora tujadili kama mngekuwa ni alternative government mngefanya nini nk,mnakuwa kama think tank na si kama sokoni ambapo hakuna anayemsikiliza mwenziye,ni full mikelele isiyo na mpango,yani domo tuu!Hakuna la maana!
Unless kama kuna hatua za kuchukuliwa ambazo wananchi tunaweza kuzitumia ili kudai haki yetu na uwajibikaji wa viongozi,lakini kama demokrasia ilivyo,kama wengi wa wananchi wenzangu ni wajinga,then kupiga kelele hakusaidii,ni bora kutafuta namna ya kuwafuta ujinga huo hao wananchi ili waelewe next time wakipiga kura na kuona uchaguzi haukuwa wa huru ama wa haki,basi wakatae matokeo nk,kupiga domo tu haisadiii na wataendelea kupeta kwasababu kelele hizo kwa wananchi ni kama kupiga gitaa kwa mbuzi kwani majani ataendelea kuyachana tu mbuzi huyo bila woga wala wasiwasi....Sasa kwani sisi kujua kuwa eti huyo "Mmiliki" wa mitambo yuko bongo ni a game changer?
Prove to me kama hampotezi muda,na uje na ushahidi kama nilivyofanya!
Otherwise mibongo ndivyo tulivyo,hakuna jinsi,sana sana tuigeuze JF iwe pahala pa kupeana dili nk,kwenye siasa tunapoteza muda tu.
Sijui kama hapa ni mahali muafaka kwa hii lakini taarifa zilizonifikia hivi punde ni kuwa yule mwarabu anayetajwa kuwa ndiye mmiliki wa Dowans, Brigedia Jenerali (mstaafu) Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi wa Oman, amemaliza mkutano wake na baadhi ya wahariri katika moja ya hoteli katikati ya jiji.
Taarifa zinaeleza kuwa amesema yupo tayari kujadiliana na serikali kuhusiana na
1. Fidia iliyoamriwa kulipwa na
2. matumizi ya mitambo yake iliyopo Ubungo.
Yupo tayari kuruhusu izalishe umeme kama makubaliano yatafikiwa.