Maelezo muhimu kuhusu majini!

Maelezo muhimu kuhusu majini!

Rakims

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
5,013
Reaction score
4,621
Majini na jinsi ya kuwakwepa:
Jinn.jpg


Allah/Mwenyezi Mungu
Alisema katika kitabu chake kitukufu:

Chapter (51) sūrat l-dhāriyāt (The Wind that Scatter)

Sahih International: And I did not create the jinn and mankind except to worship Me.

Pickthall: I created the jinn and humankind only that they might worship Me.

Yusuf Ali: I have only created Jinns and men, that they may serve Me.

Shakir: And I have not created the jinn and the men except that they should serve Me.

Muhammad Sarwar: We have created jinn and human beings only that they might worship Me.

Mohsin Khan: And I (Allah) created not the jinns and humans except they should worship Me (Alone).
Arberry: I have not created jinn and mankind except to serve Me.

"Hawakuumbwa wanadamu na majini ila wamuabudu"

Na wanadamu hawawezi kuwaona majini kwa sababu kawawekea membrane(uzio ambao utawafaya wasiweze kuwaona majini kwa macho ya dhahiri, hii ni kutokana na mwenyezi mungu kuwakinga wana wa adam kwa hofu ambayo ingewapelekea kuzimia au kupoteza maisha kwa kutokana na kuwaona so he will not see them, so that he will not be blinded or die for fear because their sight is shaken.

Persistent_Pupillary_Membrane_-_Fireinthexdisco.jpg

.

Nao wanaishi katika dunia hii hii bila kuonekana na hufanya maisha yao bila kuonekana:

kwa walivyoelezewa ni kwamba wapo katika aina tatu lakini wachunguzi wanaopenda kuwajua zaidi wawafuate huko walipo,

1: (Ifrit/Afreet)
aina ya kwanza ni Ifrit


Huyu huwa na uwezo wa kuhamisha kitu kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine duniani umbali wowote na huwa na spidi zaidi ya mwanga wa taa ukifumba na kufumbua au kukapua tu macho basi yeye anakuwa kashafikisha kitu hata kama kipo magharibi na kinakwenda mashariki ya dunia na anaweza kumfurahisha master wake kwa kila anachokitaka na kumburudisha vyovyote na kumfanyia yote anayoyataka na ndiye huyu aliwahi kuiba ufalme wa Suleiman kwa kujifanya Suleiman kwa muda nisioufahamu na aliweza kufanya hivyo kwa kubabe pete ya King Solomon na kujibadilisha kuwa kama Suleiman Son Of Daud/David. hadi pale pete ya Suleiman ilipoletwa na samaki kule alipokuwa akisafisha samaki, wengi kati yenu mnaijua hii hadithi.

Aina ya pili ni (Ding/Ghoul)
348478565_o.jpg

Hawa ni majini wabaya kabisa wenye sura mbovu ambao wao huhakikisha wanaharibu maisha ya mwana wa adamu kwa sababu tu yeye alipewa ukhalifa au uongozi wa kumiliki dunia hii, hivyo wao hujihisi kudhulumiwa kwa maana mwanzo mamlaka hayo walipewa wao wakaishia kumwaga damu na kufanya uchafu ambayo ndio wanayofanya mwanadamu wa leo ayafanye ili waweze kuwa sawa na kulaumu hukumu ya mwenyezi mungu nao husumbua watu wanapokuwa wakifanya maisha yao kama kula,kuvaa,kuoga,kukaa,kuelewana n.k


Aina ya tatu hawa ni (Ghilan/Sila)

jinn116.jpg

Hawa hujitokeza katika maumbo ya watu,wanyama,vitu na kadhalika nao ni wengi zaidi walio karibu na watu kiasi kwamba huwaiga hadi sauti sura mavazi na hata ufanyaji mambo yote na hufanya kila anachofanya mwanadamu.

Yote kwa yote mwenyezi mungu Alishasema ya kuwa hivi ni viumbe dhaifu sana kwetu pamoja na nguvu zote vilivyopewa hakuna cha kumfanya mwanadamu vikamshindwa nguvu unless hajijui ananguvu kiasi gani juu yao.
wale waliojitambua uwezo wao basi utakuta anakituma kama kijakazi au kukifukuza na kukiulia mbali lakini ninaposema hivyo kwa kuwaonyesha kama wadudu haimaanishi kwamba ni wadogo maumbo yao akiingia ndani kwako chukua sitting room nzima ndio mfano wa nyoka aliyekunjwa akakaa, ili uweze kuwaona wadogo na wakuheshimu lazima uwe na imani thabiti kwa muumba wako lakini mwehu mwehu mzinzi mzinzi na mjinga mjinga, usithubutu kusema wala kuhisi hawa viumbe ni wadogo maana wana tabia ya kupima Imani,


Hivyo basi hawa hukimbia na kuumia sana pale mwana adamu anaposoma sifa za mwenyezi mungu katika aya za taji Quran (Ayatul Qursy)
na kutokumsogelewa kwa muda wa siku nzima


LAKINI YAFUATAYO YAKUPASA UWE NAYO MAKINI ILI UWEZE KUKWEPA VIUMBE HAWA:

1: Pale unapobadili nguo litaje jina la mola wako mlezi ili viumbe hivi visiweze kukuona ukiwa uchi,

2: unapolala lala kwa ubavu wako wa kulia na usome Al-Muadhatein(Surat Falaq and Naas) Kwa sababu ikiwa hautosoma basi majini kawaida yao humfata mtu aliyelala na kumkalia juu na kuanza kumkaba na kumsumbua na kumgeuzia ndoto zake na kuwa ndoto za kutisha sana




3: Usichome pini kwenye midoli ya nyumbani kwako au kumruhusu mwanao kuchomeka, kwenye midoli ya nymbani kwako kwa maana majini wengine huishi kwenye mamidoli hivyo unapochoma unawaumiza baadae watakuja ukiwa haupo vizuri watakutandika na kukuumiza pia au kumuuguza mwanao mapele ya ajabu ajabu au wewe mwenyewe, kuchomeka pini ni ishara ya kichawi kwa kufunga muhusika ndani na kuanza kumtesa hivyo mwanao akikuweka kwenye meditation state wewe au yoyote akachoma pini utaona cha mtema kuni,




4: Usizungumze kwa sauti ya juu nyakati za usiku kwa sababu huwa kuna majini wanaozunguka nyakati hizo kelele huwaumiza nao hushindwa kujizuia kukunyamazisha kwa kukuumiza kichwa au kukufanyia chochote ili mradi ukae kimya,

5: Usilie ukiwa peke yako kwa sababu hapo majini hukusogelea na kuanza kukunong'oneza mambo mabaya na kukwambia hakuna wa kukusaidia wewe hufai n.k hivyo hupelekea wewe kufanya maamuzi mabaya,



6: Kumbuka kutaja jina la mola wako kila unapotupa au kurusha kitu au kuruka sehemu kwa sababu kuna asilimia nyingi za uwepo wa jini pale utakapotua ambae eidha kalala au kakaa, hivyo kama katumwa au kwa mapenzi yake anaweza kukuzulu na kukuumiza au hata kukumaliza.

7: Usimwage au kukoga maji ya moto bafuni bila kusema najikinga kwa ewe Allah kutokana na mashetani wa kike na kiume ambaye ni Kubuth na Khabaith na vitendo vyao na machafu yao.

8:Na kama utahisi maskio yako yanapiga kelele au yanalia mdudu na ukahisi joto mapuani na unaskia harufu ya kuungua na huoni kinachoungua basi fahamu kuwa mbele yako kuna jini mbele ya macho yako hivyo sema najikinga kwako mwenyezi mungu kutokana na mashetani wa kijini,au "audhu billah minal shaytwan rajiim" Na kama bado yupo toa Azaan (akiondoka utahisi kibaridi au upepo umekupuliza, Hivyo hivyo ukihisi baridi la ghafla

9:Kama unafuga paka au mbwa nyumbani na ukamuona analia kwa hofu au kukujia karibu yako kwa kuogopa na kuanza kuzunguka miguuni kwako basi msaidie kwa kusoma Muadhatein kwa sababu kuna jini mbaya anaetisha anamsogelea na kutaka kumzuru yeye au watu waliopo kwenye nyumba hiyo au eneo hilo, na akianza kucheza au kuondoka basi teyari upo salama, na akikaa hadi usingizi ukampitia basi wewe utakuwa teyari umekubwa na jini,

10: Usijiangalie kwenye kioo ukiwa uchi au nusu uchi au kujiangalia karibu na kioo kwa sababu majini huchukua sura yako na kuanza kuwafuata ndugu jamaa na marafiki zako na kuanza kuwapa ndoto mbaya za picha yako basi baada ya muda utaanza kuhisiwa mchawi. na ukiwa ni mpenzi wa kujiangalia angalia basi unatakiwa kusema "kwa jina la mwenyezi mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu" Bismillah rahman rahiim" Hakuna kitakachokuika sura wala mwili na kama usiku unalala na kioo ndani ya chumba kwa kulalia basi kifunike maana hicho ni msaada au geti la majini katika kukudhuru kizazi.

Usiogope na Mwenyezi mungu atakusaidia kuwafukuza na kujikinga nao na kila mtu kufanya maisha yake kwa uhuru,


Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:

Rakims
 
Nashangaa watu kukaa Ku amini upuuzi wa majini na viumbe vibovu
wakati "TUMEPEWA MAMLAKA"
Yaani seriously mtu unamwamini binadamu mwenzako akusaidie kuhusu swala fulani...hili Hali wewe binafsi unayo "MAMLAKA"
HAKIKA "WANAANGAMIA kwa kukosa maarifa"
Jesus name iz most powerful name which Can separate any EVIL....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom