Asa hapo wizi uko api ani we ufeli af mtu ahangaike kukutungia mtiani na kukusahihishia smtym na kufundisha bule tuuuuuuDuuu hatari sana kwa kwel hapo hawatend haki yani saplimentary unalipia huo ni uwiz wazi wazi hata hiyo MKUU wa chuo aangalie Mara mbili mbili
Kwani hapokei mshahara!! Mtiani anatunga kwa garama zake au za chuo !!! Hivyo vyuo vingine ambavyo vinafanya sap bure kwani havitungi mtihani!!! Watu wapo chuo ada, malazi na mambo mengine wanajilipia kwa miangaiko yao wenyewe so ww huwez ona ni shida maana swala LA pesa kwako lipo vizur... Aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaaaAsa hapo wizi uko api ani we ufeli af mtu ahangaike kukutungia mtiani na kukusahihishia smtym na kufundisha bule tuuuuuu
.........acha kufeli uepuke hii kitu