MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Ninafangasi katika vidole vya miguu hasa nikivaa viatu mara kwa mara zinatokeza, pia nina m-ba katikati ya mapaja na baadhi ya maeneo mengine ya mwili. Nimetafuta dawa ktk maduka ya kawaida na kuna dozi ya ASFULVIN vidonge 30 kila siku kimoja, nimeshauriwa kuvimeza usiku. Tangu nianze kumeza yapo matukio yafuatayo yanayonitokea:-
1. Kuharisha bila kuumwa tumbo
2. Kichwa kuuma
3. Nikinywa maji, soda,juisi nahisi uchungu mdomoni.
Je hali hii husababishwa na vidonge hivyo? nini ushauri wenu enyi watibu wema?
Heri ya mwaka mpya.
1. Kuharisha bila kuumwa tumbo
2. Kichwa kuuma
3. Nikinywa maji, soda,juisi nahisi uchungu mdomoni.
Je hali hii husababishwa na vidonge hivyo? nini ushauri wenu enyi watibu wema?
Heri ya mwaka mpya.