Taarifa hii imetumwa kwenye Mjengwablog.com na Mtanzania aliye UK.
Mwenyekiti,
Hapa UK kuna kampuni moja mimi nasema ni ya kitapeli kwani bila shaka imeanzishwa na wakubwa fulani kwa manufaa yao na vijana wao wanaoishi hapa uk. Hii kampuni inajiita WTM UTILITY SEVICES LTD (TBS no: TZS 698.2003) hawa ukitaka kusafirisha gari kuja bongo wanasema lazima walikague ubora wake , lakini kitu cha ajabu hakuna ukaguzi huo unaofanyika.
Wewe unawapigia simu una gari, kasha una wafaksia kadi ya gari wanakuandikia certificate au kama una haraka unakutana nao mitaani maeneo ya east . Hapo wanakundikia hapo hapo!Kwa kweli inakera .
Watu wana tengenezeana michongo na Serikali haipati kitu. Sijui hao watu wa TBS waliowapa kibali cha shughuli hiyo kama wana jua chochote? Nadhani na wao wana fungu lao. Naomba wahusika wizarani wachunguze suala hili, basi kama kuna ulazima wa ukaguzi ufanyike nyumbani angalau walala hoi nao watapata ajira na Serikali itaambulia, na si pesa si kidogo. Mwenyekiti, nawasilisha.
Shukrani
Whistleblower
UK
Mwenyekiti,
Hapa UK kuna kampuni moja mimi nasema ni ya kitapeli kwani bila shaka imeanzishwa na wakubwa fulani kwa manufaa yao na vijana wao wanaoishi hapa uk. Hii kampuni inajiita WTM UTILITY SEVICES LTD (TBS no: TZS 698.2003) hawa ukitaka kusafirisha gari kuja bongo wanasema lazima walikague ubora wake , lakini kitu cha ajabu hakuna ukaguzi huo unaofanyika.
Wewe unawapigia simu una gari, kasha una wafaksia kadi ya gari wanakuandikia certificate au kama una haraka unakutana nao mitaani maeneo ya east . Hapo wanakundikia hapo hapo!Kwa kweli inakera .
Watu wana tengenezeana michongo na Serikali haipati kitu. Sijui hao watu wa TBS waliowapa kibali cha shughuli hiyo kama wana jua chochote? Nadhani na wao wana fungu lao. Naomba wahusika wizarani wachunguze suala hili, basi kama kuna ulazima wa ukaguzi ufanyike nyumbani angalau walala hoi nao watapata ajira na Serikali itaambulia, na si pesa si kidogo. Mwenyekiti, nawasilisha.
Shukrani
Whistleblower
UK